Singida FG, Mashujaa zagawana pointi Kirumba Mwanza. Timu za Singida Fountain Gate na Mashujaa FC zimegawana pointi leo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao umemalizika kwa suluhu (0-0) kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mchezo huo...
Singida FG, Mashujaa vita ya matumaini KESHO Jumapili Singida Fountain Gate na Mashujaa FC zitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu za matumaini ya kubaki Ligi Kuu Bara na kumaliza nafasi za juu kwenye msimamo zitakapokutana katika...
Sunzu, Maftah watia neno Derby MASTAA wa zamani wa Simba na Yanga, Felix Sunzu na Amir Maftah wametofautiana mitazamo kuhusu mchezo wa dabi ya Kariakoo utakaochezwa Jumamosi ya Aprili 20 kuanzia saa 11 jioni kwenye Uwanja wa...
Kumbe Julio hajamalizana na Singida FG Wakati uvumi wa Kocha Mkuu wa Singida Fountain Gate, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wa kuachana na timu hiyo ukiendelea kuenea, uongozi wa timu hiyo umeibuka na kudai kwamba bado uko kwenye mazungumzo...
Aziz Ki, Guede wamtisha kocha KOCHA Msaidizi wa Singida Fountain Gate, Ngawina Ngawina ameshtushwa na viwango vya wachezaji wa Yanga, Aziz KI na Joseph Guede kutokana na namna wanavyoendelea kuviboresha na kuwa wazuri zaidi...
Sakata la Kakolanya liko hivi Singida FG BAADA ya taarifa za nahodha wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya kutoweka kambini saa chache kabla ya mchezo dhidi ya Yanga katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, hatimaye uongozi wa...
Yanga yakoleza mzuka wa Dabi, Guede awaka, Azizi Ki hakamatiki WAKATI Simba ikiianza wiki ya Dabi ya Kariakoo kinyonge baada ya sare ya 1-1 na Ihefu katika mechi ya jana, watani wao Yanga wameongeza mzuka baada ya jana kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya...
Mvua yaleta wasiwasi mechi ya Singida FG na Yanga Zikiwa zimebaki saa chache kabla ya kuanza kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Singida Fountain Gate na Yanga utakaoanza saa 10:00 jioni, mvua kubwa inaendelea kunyesha katika jijini la Mwanza na...
Pamba yafunga hesabu Nyamagana, yamwagiwa Sh10.5 milioni Pamba imecheza mechi 14 kwenye Uwanja wa Nyamagana, Mwanza bila kupoteza, ikishinda 11 na sare tatu.
Kyombo haoni ugumu kwa Bacca, Mwamnyeto Mshambuliaji wa Singida Fountain Gate, Habib Kyombo amesema licha ya safu ya ulinzi ya Yanga ikiongozwa na mabeki, Ibrahim Bacca na Bakari Mwamnyeto kuwa na ukuta mgumu, lakini wamepata mbinu za...