Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Balaa la mbu katika vibanda umiza

    MOJAWAPO wa burudani nzuri inayochangamsha na kuleta furaha isiyo na kifani kwa wapenda kandanda ni kwenda kutazama soka mtaani - katika mabanda ya Uswahilini maarufu vibandaumiza au baa.

  2. PRIME SPOTI DOKTA: Siri mastaa kutumia tiba ya oksijeni

    TIBA ya oksijeni ya Hyperbaric kifupi HBOT hivi sasa imekuwa maarufu kwa wanamichezo duniani ikiwamo wanaocheza kandanda, kikapu, mpira wa magongo, wapiga mbizi na wanariadha.

  3. SPOTI DOKTA: Beki wa Arsenal kufanyiwa upasuaji iko hivi

    Klabu ya Arsenal ilipata pigo wiki iliyopita siku ya jumannne katika mchezo wa ligi kuu EPL dhidi ya Fulham mara baada ya beki wake toka nchini Brazil Gabriel Magalhàes kupata majeraha mabaya ya...

    DOKTA Pict
  4. PRIME SPOTI DOKTA: Bondia kufia ulingoni sababu ni hii

    KUELEKEA Sikukuu ya Eid Fitr jijini Nigeria, iligeuka huzuni katika mchezo wa masumbwi baada ya bondia Gabriel Olanrewaju kufariki dunia wakati wa pambano baada ya kudondoka katika raundi ya 10..

  5. SPOTI DOKTA: Utimamu wa Arajiga, Kayoko unapatikana hivi

    MWAMUZI wa soka anahitaji kuwa na mwili mkakamavu ambao unamwezesha kwenda na mwendokasi wa mchezo huo ambao unahitajika kuwa na kasi, nguvu na kutumia akili kuamua.

  6. PRIME Che Malone atuliza presha Simba

    BENCHI la ufundi la Simba linazidi kukuna kichwa juu ya jereha linalomsumbua beki wa kati, Fondoh Che Malone aliyepelekwa Morocco kwa ajili ya kufanyiwa matibabu kwa lengo la kuwahi mapema kabla...

  7. SPOTI DOKTA: Sababu kifo cha Dokta wa Barcelona ni hizi

    KLABU ya Barcelona ya Hispania, wikiendi iliyopita ilipata pigo baada ya kutokea kifo cha ghafla cha daktari wa kikosi cha kwanza ajulikanaye kama Dk. Carles Garcia Minarro mwenye umri wa...

  8. PRIME Dabi ya Kariakoo...Kina Mpanzu, Pacome wazingatie haya

    Jumamosi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam litapigwa pambano la watani wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga.

  9. SPOTI DOKTA: Mashabiki wazingatie haya Dabi ya Kariakoo

    NAAM kumekucha! Zimebaki siku mbili tu kabla ya Dabi ya Kariakoo kupigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

  10. SPOTI DOKTA: Kabla ya marathoni fanya haya

    KILA mwaka hapa nchini hufanyika mbio za marathoni.

Previous

Page 2 of 14

Next