Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Stars kundi E kufuzu Kombe la Dunia

Muktasari:

  • Stars imepangwa kundi E ikiwa pamoja na timu sita ambazo ni Morocco ambayo ilifika nusu fainali Kombe la Dunia 2022, Zambia, Congo, Niger na Eritrea

Droo ya makundi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 imechezeshwa leo saa 1 usiku jijini Abidjan, Ivory Coast, .

Stars imepangwa kundi E ikiwa pamoja na timu sita ambazo ni Morocco ambayo ilifika nusu fainali Kombe la Dunia 2022, Zambia, Congo, Niger na Eritrea

Kundi A zimepangwa timu kama Egypt, Bukina Faso, Guinea Bissau, Sierra Leone, Ethiopia  na Djibout huku kundi B ambalo linaongozwa na Senegal ‘ Simba wa Teranga’, DR Congo, Mauritania, Togo, Sudan, Sudani ya Kusini

 Kundi C ambalo limeanza Nigeria, Afrika ya Kusini, Benin, Zimbabwe, Rwanda na  Lesotho ambapo kundi linalofuatia ni D kuna Cameroon, Cape Verde, Angola, Libya, Eswatini na Mauritius.

Timu ya Taifa Stars ndo inafuata ambapo ipo kundi E likifuatiwa na kundi F ambalo linatimu sita kama makundi mengine inatimu kama Cote D’ivoire, Gabon, Kenya, The Gambia, Burundi na Seychelles

Makundi matatu ya mwisho ambalo ni kundi G linaongozwa na Algeria, Guinea, Uganda, Mozambique, Bostwana na Somalia, kundi H ni Tunisia, Equatorial Guinea, Namibia, Malawi, Liberia na Sao tome & Principe na mwisho ni kundi I ambalo lina timu kama Mali, Ghana, Madagascar, Cetral African, Comoros na Chad