Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Kipa Gor Mahia aingia gym na tahadhali ya corona

Muktasari:

Amesema hawezi kukaa bila kufanya mazoezi hivyo kila kinachotakiwa ajilinde nacho basi anabeba

Dar es Salaam. Kipa wa Gor Mahia, David Kisu amesema anapokwenda kufanya mazoezi ya gym anakuwa na vifaa vya kujilinda na maambukizi ya corona.

Amesema hawezi kukaa bila kufanya mazoezi hivyo kila kinachotakiwa ajilinde nacho basi anabeba.

"Najua ukigusa machuma ya gmy yanaweza kuhatarisha usalama wangu, sifanyi uzembe lazima niwe na sabuni na grovusi,"

"Siwezi kumwamini mtu yoyote katika hili kwa sababu nikifanya mchezo naweza kuhatarisha familia yangu na watu wanaonizunguka," amesema Kisu.

Ameshauri kila mchezaji lazima achukue tahadhari ya kulinda afya yake akiamini itasaidia kupunguza maambukizi.