Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTIDOKTA: Uti mamu wa akili ndo kila kitu

    WIKI iliyopita tumeshuhudia Yanga ikitangazwa bingwa wa Ligi Kuu Bara ikiwa na mechi mbili mkononi baada ya kufikisha pointi 74 na huko Ulaya, Jumapili iliyopita Barcelona ya Hispania ilitangazwa...

  2. SPOTIDOKTA: Kai ya Vinicius Jr ni balaa

    Katika mchezo wa nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya UEFA kati ya Real Madrid na Manchester City uliochezwa usiku wa jumanne katika dimba la Madrid Santiago Bernabeu kasi ya winga wa kushoto...

  3. SPOTIDOKTA: Hisia inaweza kuathiri upigaji Penalti

    KUTOLEWA kwa Simba katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mikwaju ya penalti Ijumaa iliyopita na Wydad Casablanca nchini Morocco lilikuwa pigo lililoleta simanzi hapa nchini. Penalti...

  4. SPOTI DOKTA: Athari za fataki, mabomu viwanjani

    KATIKA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Mkapa kati ya Simba na Whydad Athletic Club ya Morocco lilitokea tukio la uwashaji na ulipuaji fataki.

  5. Unajua faida za mazoezi kabla hujakimbia?

    ZOEZI la kukimbia mbio nyepesi kwa mwendo wa wastani kitaalam hujulikana kama Jogging, ni moja ya zoezi linaloainishwa kama zoezi jepesi kitabibu Aerobics exercise. Ni aina ya zoezi ambalo...

  6. Madhara ya kukimbia na raba za kubana

    Ni hatua nzuri kwa yule ambaye hivi sasa amekuwa na mwamko wa kufanya mazoezi ya kukimbia kidogo kidogo kwa kundi au binafsi katika maeneo ya wazi au yale ya pembezoni mwa barabara za...

  7. Mambo ya kuzingatia kabla kukimbia Jogging

    SIKU za karibuni kumekuwa na mwamko kwa wazee na vijana katika ufanyaji mazoezi mepesi ya kukimbia katika maeneo maalum au kando ya Barabara za huduma. Ukimbiaji mdogo mdogo hujulikana kama...

  8. SPOTI DOKTA: Simba vs Yanga na vifo vya ghafla

    Gumzo kubwa lililotawala wiki hii ni kichapo cha mabao 2-0 walichopokea Yanga dhidi ya Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa katika Uwanja wa Mkapa, Jumapili Aprili 16. Katika mechi...

  9. Majeraha kichwani na madhara yake katika soka

    SIKUKUU ya Pasaka iligeuka huzuni kwa wadau wa soka mkoani Songwe mara baada ya kutokea ajali ya kimichezo ya kugongana na mwenzake uwanjani na kusababisho kifo cha mchezaji wa Saza FC, Albert...

  10. SPOTI DOKTA: Hakuna namna mastaa lazima wapumzike

    USIKU wa Jummane katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ilijiweka pagumu kupata tiketi ya Afcon mara baada ya kuruhusu kufungwa bao 1-0 na Uganda katika dakika za...

Previous

Page 10 of 14

Next