JICHO LA MWEWE: Farid Mussa amepeleka kesi ngumu Yanga UPANDE wa kushoto wa ulinzi wa Yanga. Yassin Mustafa ameumia. David Bryson ameumia. Shomari Kibwana ambaye huwa anaibia kucheza upande huo, ingawa ni beki wa kulia pia ameumia. Kocha Nasreddine...
Shikalo azungumzia Yanga, Dube amliza UKIANZA kutaja majina ya makipa ambao walikuwa na wakati mzuri ndani ya Yanga huwezi kuacha kulitaja jina la Faruk Shikhalo ambaye alicheza kwenye kikosi hicho kwa misimu miwili mfululizo...
SIO ZENGWE: Si vyema Karia, wachambuzi kucharurana WIKI iliyopita iliisha vibaya baada ya Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia kurusha kombora kwa wachambuzi wa soka ambao hivi sasa wamekuwa wengi, wakisifiwa na kupondwa.
Nyota Tembo Warriors wapasua anga UNAWEZA kusema ni neema imewatembelea vijana wanne wa timu ya soka ya walemavu nchini maarufu kama Tembo Warriors baada ya kupata ofa ya kwenda kucheza soka la kulipwa nchini Uturuki baada ya...
MASTORY YA OSCAR OSCAR: Unataka kutuachaje? . Ukifanya hesabu utagundua kuwa aliishi kwa miaka 28. Alifariki akiwa kijana mdogo lakini bado anaishi kwenye Bongo Movie. Kuna watu wengi wameibuka na wanafanya vizuri, lakini bado Kanumba...
Mambo 10 wasiofahamu rafiki zako kuhusu AY Kenya imempatia AY tuzo mbili kwa video mbili walizosimamia, mwaka 2007alishinda Kisima Music Awards katika kipengele cha ‘Best Video’ kupitia wimbo wake, Usijaribu. Vilevile mwaka 2012 alishinda...
Ruvu, Biashara ngoma bado ngumu ikiwa mabao ya kufunga na kufungwa. Wakati timu hizo mbili zikishindwa kujikwamua kutoka huko chini, Tanzania Prison, Mbeya Kwanza na Mtibwa Sugar nazo bado hazijaeleweka kwani zipo kwenye...
Simba: Tunaendelea tulipoishia kutoka sare na Mtibwa Sugar na kushinda michezo mitatu dhidi ya Mbeya Kwanza, Tanzania Prisons na Biashara United. Kwa upande wa wapinzani wao, Dodoma katika mechi kama hizo sita...
Ajax yakaribishwa Tanzania Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na uongozi wa klabu ya Soka ya Ajax ya Uholanzi ili itangaze vivutio vya utalii vya Tanzania kupitia matangazo ya jezi...
Tuzo Ligi Kuu zaipitia kushoto Simba nyota wa Yanga, Feisal Salum. Mwezi Novemba, mshindi alikuwa ni Jeremiah Juma wa Tanzania Prisons, akafuatiwa na Reliants Lusajo wa Namungo FC, aliyeibuka mshindi Disemba, Fiston Mayele...