Vijana wanolewa Mambo Youth Challenge, BDL yanukia ZAIDI zaidi ya 50 wenye umri chini ya miaka 18, wameshiriki katika mafunzo ya siku moja ya kikapu ya Mambo Youth Challenge, kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Zanaki, jijini Dar es Salaam.
Manyerere aanika siri ya mafanikio kimataifa ALIYEKUWA kamishna wa makocha wa Shirikisho la Mpira Kikapu nchini (TBF), Robert Manyerere amesema bila uwekezaji, ni ngumu kwa timu za Tanzania kufanya vizuri kimataifa.
Real Madrid yaivunja nguvu Liverpool dili la Endrick REAL Madrid haipo tayari kusikiliza ofa kwa ajili ya kumuuza mshambuliaji wake raia wa Brazil, Endrick, 19, ambaye kwa sasa yupo kwa mkopo Olympique Lyonnais.
Sintofahamu mchezaji akiuawa kwa risasi Ghana TUKIO la kuuawa kwa mchezaji wa Berekum Chelsea ya Ghana, Dominic Frimpong baada ya basi la timu hiyo kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa majambazi limeibua mjadala wa usalama kwa wachezaji...
Carrick alalamikia waamuzi kipigo dhidi ya Leeds Kaimu Meneja wa Manchester United, Michael Carrick ameshambulia uamuzi wa marefa kuwa ndio chanzo cha kupoteza kwa mabao 2-1 mchezo wa jana Jumatatu, Aprili 15, 2025 nyumbani dhidi ya Leeds United.
Sowah afichua kinachoendelea Simba, klabu yatoa tamko MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah, amevunja ukimya na kuamua kuweka wazi kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo kumuhusu yeye ikiwa imepita takribani mwezi mmoja na siku 20 tangu asimamishwe...
Kifo cha Ashly Robinson Zanzibar chazua maswali, familia yataka ukweli Wazazi wa Ashly Robinson, ambaye alikuwa mshawishi wa mitindo ya maisha kutoka Marekani aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 31 katika mazingira yanayotajwa kuwa na utata visiwani Zanzibar...
Tony Woodcock kupata medali ya Ulaya baada ya miaka 46 ya kusubiri MCHEZAJI wa zamani wa kimataifa wa England, Tony Woodcock, hatimaye anatarajiwa kupokea medali yake ya ushindi wa Kombe la Ulaya baada ya miaka 46 tangu aliponyimwa mwaka 1980 akiwa sehemu ya...