Usilale na mapambo, madhara yake ni mengi Unaweza kuona ni jambo la kawaida kulala ukiwa umevaa hereni, cheni, vikuku au pete zako uzipendazo. Wapo wanaofanya hivyo kwa mazoea, wengine kwa kuhofia kupoteza mapambo yao, lakini unajua...
Droni za tiba kutumika Kombe la Dunia 2026 Viwanja vya Kombe la Dunia 2026 vitatumia ndege zisizo na rubani maarufu droni zenye vifaa vya uokoaji maisha ili kutoa msaada wa haraka wakati wa dharura za kiafya kwa mashabiki.
Kigari cha kubeba majeruhi uwanjani chagonga mchezaji MASHABIKI wa soka wameachwa wakiwa na mshangao baada ya mchezaji wa El Nacional, Edison Caisedo kugongwa na kigari cha kubebea wachezaji majeruhi uwanjani cha timu yake wakati wa mechi ya Ligi...
Gvardiol, Rodri waibua hofu Man City MUSTAKABALI wa nyota wawili wa Manchester City, Josko Gvardiol na Rodri uko shakani baada ya kukataa kuondoa uwezekano wa kuondoka klabuni msimu huu wa joto, wakisema watafanya uamuzi baada ya...
Kombe la Dunia 2026, sherehe tatu za ufunguzi zitakazoandika historia KOMBE la Dunia la FIFA 2026 linatarajiwa kuwa moja ya matukio makubwa zaidi ya michezo kuwahi kushuhudiwa duniani, sio tu kwa ukubwa wake wa kimashindano bali pia kwa namna litakavyopangiliwa.
Serengeti Boy kwenye mikono salama ya Haji WAKATI Tanzania ikijiandaa kwa mechi kubwa zaidi katika historia ya soka lake la vijana, kuna jina moja ambalo limekuwa nguzo muhimu katika safari ya ajabu ya Serengeti Boys kufika fainali ya...
PSG ya Luis Enrique ilivyofikia kilele chake Ulaya PSG wametawazwa mabingwa wa Ulaya kwa mara nyingine tena. Kikosi cha Luis Enrique kilihitaji mikwaju ya penalti kuishinda Arsenal, mabingwa wa Ligi Kuu England, katika fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Walipo mastaa Arsenal waliocheza fainali Ulaya miaka 20 iliyopita JUMAMOSI iliyopita Arsenal ilishindwa kubeba ubingwa wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kupoteza kwa penalti 4-3 dhidi ya PSG katika Uwanja wa Puskas uliopo Budapest, Hungary. Timu...
Namba katikati ya bato la Arsenal, PSG PSG ndiyo mabingwa wa Ulaya kwa msimu wa pili mfululizo, wakichukua mara hii mbele ya mabingwa wa Ligi Kuu England, Arsenal.