Mashabiki Mali waishangilia Walibya MAELFU ya mashabiki wa soka wa Mali, juzi waliishangiliwa Libya kwa nguvu ilipokuwa ikicheza na Comoro katika mechi ya kuwania kufuzu Fainali za Afrika 2012.
Kocha wa Namungo: Nyie Yanga tusijuane kesho! Si hivyo tu, kocha huyo ameendelea kujitapa kwamba anataka kujenga heshima kwa kuhakikisha anapandisha timu hiyo na kushiriki ligi kuu.
Hesabu za TFF zamchanganya Masau Bwire Baada ya Bodi ya Ligi kumpiga faini Sh 200,000, Masau Bwire kwa kosa la kuingia ndani ya Uwanja kushangilia ushindi wa Ruvu Shooting dhidi ya Yanga Agosti 28, mwaka huu amepiga adhabu hiyo.
Fifa yazichimba mkwara Nigeria, Ghana Shirikisho la soka la kkimataifa (Fifa), limezipa Nigeria na Ghana, tarahe ya mwisho kuamua kama ziko radhi kuadhibiwa ama zinataka kujiepusha na adhabu.
Trent ni majanga baada majanga BEKI wa kulia, Trent Alexander-Arnold atakuwa nje ya uwanja kwa muda usiopungua miezi miwili baada ya kuumia mguu wakati wa mchezo wa Real Madrid ilipoichapa Athletic Bilbao mabao 3-0.
Uamuzi wa VAR wamkera Ferdinand, 'akomalia' bao la Konate MBEYA City imeshamtambulisha Mecky Maxime kuwa kocha mkuu ili kuanza kazi ya kuirudishia makali timu hiyo, lakini ametua na wawili.
Semenyo apiga goti kubeba kimwana MSHAMBULIAJI Antoine Semenyo amekuwa akisakwa kwelikweli kuelekea dirisha lijalo la usajili kutokana na kile anachofanya huko Bournemouth, lakini kwa wanaomtaka nje ya uwanja hilo amelifunga...
Polisi yathibitisha MC Pilipili amekufa kwa kipigo Nani kamuua mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias, maarufu MC Pilipili pengine ndio swali linalogonga vichwa vya wengi kwa sasa. Nani amehusika kwenye mauaji yake na kwa nini...
Burna Boy ashtuka, afuta shoo Marekani NYOTA wa muziki wa Afrobeats kutoka Nigeria, Burna Boy, anaripotiwa kufuta maonyesho yake matano yajayo katika ziara inayoendelea ya No Sign of Weakness (NSOW) huko Marekani na chanzo cha kufutwa...
Candy Bleakz aporwa, atoa taarifa ya kutisha MWIMBAJI maarufu wa Nigeria, Blessing Akiode Mariam, anayejulikana zaidi kama Candy Bleakz, ameibua wasiwasi mtandaoni baada ya video yake kusambaa ikimwonyesha katika hali ya kutetemeka muda...