Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

24622 results for tanzania :

  1. VAR: Bado tafsiri ya kuotea ina ukakasi kwa waamuzi wa mpira wa miguu

    Dar es Salaam. Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Simba wameweka matumaini ya kufuzu hatua ya mtoano baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya RS Berkane ya...

  2. RIPOTI MAALUM: Makocha wazawa wanafeli wapi?

    wengi hawataki kutoka Tanzania kwenda nje kwa kigezo cha maslahi. Ndani ya miaka ya hivi karibuni soka la Tanzania limeonekana kuwa sehemu inayolipa vizuri, kuliko mataifa...

  3. Tshabalala moto, Sakho balaa

    SIMBA imerudi kileleni katika msimamo wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiongoza kundi D baada ya juzi kuichapa RS Berkane ya Morocco kwa bao 1-0 katika mchezo uliochezwa kwenye...

  4. Bocco, Erasto watemwa Stars

    KOCHA wa timu ya Taifa Tanzania, Kim Poulsen amewaacha wachezaji wakongwe John Bocco na Erasto Nyoni katika kikosi chake kinachoingia kambini Jumapili kwa ajili ya mechi za kirafiki dhidi ya...

  5. Biashara ni mwendo wa dozi tu Kirumba

    TIMU ya Biashara United ya Mara imeendeleza wimbi la ushindi katika mechi zake za Ligi Kuu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya...

  6. JICHO LAMWEWE: Tunafahamu wakubwa wanaomtamani Amissi Tambwe

    HAPO mtaa wa chini Amissi Tambwe ana mabao 14. Ligi Daraja la Kwanza (Championship). Nadhani wengi tunaweza kuwajua wanaomtamani Tambwe kwa sasa. Ni klabu za Ligi Kuu. Wanajua kuna kazi ambayo...

  7. Mtanzania kusaka viwango vya michezo ya Madola Afrika Kusini

    Mwanariadha wa paralimpiki, Sauda Njopeka amepata nafasi ya kushiriki mafunzo na mashindano ya kutafuta viwango vya kushiriki michezo ya Jumuiya ya Madola.

  8. Kikao cha FINA na Tanzania chazaa matunda katika mchezo wa kuogelea nchini

    Shirikisho la Mchezo wa Kuogelea Duniani leo Machi 15, 2022 limeridhia kutoa ufadhili wa kuboresha miundombinu mbalimbali ya mchezo wa kuogelea hapa nchini, masomo na mafunzo ya mchezo wa kuogelea...

  9. Simba ya kimataifa ni habari nyingine

    SIMBA ya kimataifa ni habari nyingine. Wawakilishi hao wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa, jana waliupiga mwingi na kubakisha pointi tatu nyingine nyumbani baada ya kuichapa RS Berkane...

  10. Mbio za Ubingwa Ubelgiji zakolea

    MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta anakaribia kucheza mchujo wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Ubelgiji ‘Jupiler Pro’ akiwa na chama lake Royal...

Previous

Page 831 of 2463

Next