MDAMU: Ilibaki kidogo tu nijiue kwa kisu KWA sasa uso wa straika wa Polisi Tanzania, Gerald Mdamu umejaa na tabasamu nzito, kinywa chake kinashukuru Mungu, kutokana na hatua kubwa ya maendeleo ya miguu yake, tangu alipopata ajali...
Simba kuifanyia umafia ASEC Simba kesho watakuwa na kibarua dhidi ya ASEC Mimosas nchini Benin na wanahitaji ushindi au pointi ya aina yoyote ili waendelee kujihakikishia nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali.
Yanga yajibu mapigo Simba WAKATI mashabiki wa Simba na hata viongozi wake wakiamini, Yanga wana mechi nne nzito zinazoweza kuwashusha kileleni, wenyewe wamejibu mapigo, kwa kocha wao, Nasreddine Nabi kucheka sana na kisha...
Msuva ampotezea Mayele MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva amempotezea kiaina straika wa Yanga, Fiston Mayele na kuwapigia debe George Mpole wa Geita na Reliants Lusajo wa Namungo kubeba tuzo ya...
Kwa mabao haya...acha Yanga waringe tu YANGA msimu huu kila sehemu ni tamu. Ukiachana na kuongoza Ligi Kuu Bara kwa pointi, umiliki wa mabao yao 29 una vionjo vya kusisimua kwa namna yalivyofungwa kwa staili tofauti.
Aah! Chama azingua KAMA unadhani mzimu wa kukosa penalti kwa Simba unaisumbua kwenye mechi za mashindano tu, pole yako kwani hata mazoezini tatizo hilo linaendela kuwatibua mastaa wa timu hiyo akiwamo Clatous Chama.
Rais Samia kuneeemesha wanamichezo RAIS Samia Suluhu Hassan amesema wasanii na wanamichezo wana fursa kubwa ya kukua na Serikali imeendelea kuwapa nguvu kwa kuwatungia sera nzuri na sheria.
Fifa yampa ruksa Msuva NYOTA wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva mwenye mzozo na klabu yake ya Wydad Casablanca ya Morocco, juzi alionekana ametinga uzi wa timu ya Akademi ya Cambiaso dhidi ya Simba na kufunga...
EP ya Diamond yaibua jambo Kabla ya Diamond hakuna msanii wa Bongofleva aliyewahi kutoa EP yenye nyimbo 10, EP ya Ravanny, ‘Flowers’ ndio ilikuwa inashikilia rekodi ya kuwa na nyimbo nyingi zaidi zikiwa nane, huku EP ya...
UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kila kitu kuhusu Tshabalala kinavutia BINAFSI ni shabiki mkubwa sana wa staa wa timu ya taifa ya Tanzania, Mohammed Hussein. Siyo yule ‘Mmachinga’ wa zamani wa Yanga bali beki wa kushoto wa sasa wa Simba, Mohammed Hussein...