Bundesliga, Ligue 1, Serie A kutamu KIVUMBI leo. Ndicho unachoweza kusema kutokana na kile kinachokwenda kutokea kwenye mikikimikiki ya Ligi Kuu za Ulaya, hasa Bundesliga, Ligue 1 na Serie A. Ni moto.
Vita ya Aziz KI, Fei Toto yahamia Ligi ya wanawake ACHANA na ubingwa Ligio Kuu ya Wanawake (WPL) uliobebwa na Simba Queens, unaambiwa ligi hiyo haijaisha kwenye vita ya kimya kimya ya kuwania kiatu cha Mfungaji Bora wa msimu huu.
Joe master balozi mpya Sportpesa KAMPUNI ya SportPesa imemtangaza mchekeshaji, Joe Master kuwa Balozi mpya kutangaza bidhaa za kampuni hizo.
Manji kuzikwa leo Florida Marekani Aliyewahi kuwa Mwenyekiti na Mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji ambaye alifariki juzi Jumamosi anatarajiwa kuzikwa leo nchini Marekani.
Amorim anaanza na huyu Kocha mpya wa Manchester United, Ruben Amorim ametaja jina moja la nyota anayetaka asajiliwe na miamba hiyo ya Old Trafford, dirisha la Januari.
Zanzibar Heroes waalikwa Ikulu, walamba Sh50 milioni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes Tsh50 Milioni baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025.
Mzize awapiga chini Feisal, Dube Kamati ya tuzo za TFF imemchagua kocha wa Yanga, Sead Ramovic kuwa kocha bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu Bara huku pia ikimchagua mshambuliaji wa timu hiyo Clement Mzize kuwa mchezaji bora wa...
Yanga yawageukia wazee UONGOZI wa klabu ya Yanga ikishirikiana na wadhamini wao GSM imekabidhi rasmi kiasi cha Sh 200 milioni sambamba na mifuko ya saruji yenye ujazo wa tani 100 katika ujenzi wa makazi ya kisasa ya...
Mo Dewji aibua kitendawili kipya LICHA ya sintofahamu kinachoendelea Simba SC, Rais wa Heshima na Mwekezaji mwenza wa klabu hiyo, Mohamed 'Mo' Dewji ameibuka na kitendawili ambacho kinawaweka njia panda mashabiki na wanachama wa...
Ateba awaweka kikaangoni wawili Simba Hali hiyo inasababisha shinikizo kwa wachezaji Freddy Koublan na Ayoub Lakred, ambao wanaweza kuachwa ili kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni kutoka 13 hadi 12, kulingana na kanuni za ligi...