Simba, Chipukizi ngoma droo Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wametosha nguvu katika dakika 45 za kipindi cha kwanza dhidi ya Chipukizi ikiwa ni mwendelezo wa mechi za Kombe la Mapinduzi zinazochezwa Uwanja wa Amaan...
MO Rashid Simba ndiyo basi tena KUSAJILIWA katika klabu kubwa zaidi kwenye soka la Tanzania, Simba au Yanga, ni ndoto ya wachezaji wengi wanaoinukia nchini.
Dilunga aibeba Simba ikishinda kwa penalti dhidi ya Stand United Kiungo Dilunga ameibuka shujaa wa Simba baada ya kufunga penalti ya mwisho pia ikiwa ni penalti yake ya pili katika mchezo huo.
Takes Zenji to the World KILA aliyetia timu kwenye tamasha la Sauti za Busara huko Zanzibar, basi ameondoka huku moyo wake ukiwa umesuuzika kabisa. Kila burudani ilikuwepo na mashabiki muda wote walikuwa na mzuka mwingi...
Sauti za Busara kumenoga, wasanii kila kona SAUTI za Busara moja ya Tamasha kubwa barani Afrika limezinduliwa jana Ijumaa eneo la kihistoria la Ngome Kongwe likiwa na orodha kubwa ya wasanii kutoka kila kona.
Tamasha la Sauti za Busara kuwaenzi Ruge, Faki Makame Tamasha la 17 la Sauti za Busara limezinduliwa leo na kuwaenzi wa waasisi wa tamasha hilo marehemu Ruge Mutahaba pamoja na Makame Faki Makame katika eneo la kihistoria Ngome Kongwe, Zanzibar.
Hapo FKF kama mbaya mbaya tu Kenya Wagombea kadhaa Sam Nyamweya, Moses Akaranga, Alex Ole Magelo waliamua kutowasilisha skabadhi zao kwa bodi itakayosimamia uchaguzi huo wakidai tayari imeshapanga matokeo kwani iliteuliwa na Mwendwa.
Azam FC yatinga fainali, Chirwa ang'ara Makocha wote walifanya mabadiliko ambapo kwa Mholanzi Hans Pluijm aliwaingiza, Mahundi, Mzimbabwe Bruce Kangwa, Lusajo Mwaikenda na Robert Dismas wakichukua nafasi za Mzimbabwe Donald Ngoma...
Kocha Zanzibar aita 38 kujiandaa Chalenji Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar ya Vijana chini ya umri wa miaka 20, Salum Ali Haji, ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 38, kwa ajili ya kujiandaa na Mashindano ya Cecafa ya Vijana...
Huu ndio utata safari ya ubingwa wa Yanga LIGI kuu ya Vodacom Tanzania Bara inafikia ukingoni mwezi huu huku bingwa wake akiwa ameshajulikana kabla ya michezo yote kumalizika. Huu ni mwendelezo wa jinsi bingwa wa Tanzania Bara amekuwa...