Geita Gold inataka watano tu SAFARI ya Geita Gold kurudi Ligi Kuu inazidi kupamba moto, huku uongozi wa klabu hiyo ukitamba unataka kutumia dirisha dogo kushusha wachezaji watano wa maana kuongeza nguvu kikosini ili kutimiza...
Nchimbi, wenzake waikacha Biashara United MIEZI michache baada ya aliyekuwa mfadhili na Rais wa Biashara United, Revocatus Rugumira kujiweka kando na kuirejesha timu hiyo kwa wananchi mambo yameanza kuwa magumu ikishindwa kujiendesha na...
Beki Mkongo ajishtukia Dodoma Jiji BEKI wa kati raia wa DR Congo, Heritier Lulihoshi ni kama amejishtukia baada ya kusema anahitaji muda zaidi wa kuonyesha kiwango chake, licha ya kukiri kuna ushindani mkubwa wa namba kutoka kwa...
Minziro atoa msimamo usajili wa Yondani, Kaseke WAKATI Pamba Jiji ikihusishwa kuwanasa Kelvin Yondani, Deus Kaseke na Habib Kyombo, kocha wa timu hiyo, Fred Felix ‘Minziro’ amefunguka juu ya usajili huo, huku akisisitiza kwamba klabu hiyo...
Chikola akwepa presha ya ufungaji Bara LICHA ya kuwa kwenye kiwango bora na kasi kubwa ya kutupia mabao, winga wa Tabora United, Offen Chikola amesema hana malengo ya kujiweka kwenye vita ya kuwania ufungaji bora wa Ligi Kuu Bara...
Malimi asaka rekodi Mtibwa Sugar ACHANA na mechi ya jana dhidi ya Mbuni FC ugenini, lakini moto wa Mtibwa Sugar ni mkali kwenye Ligi ya Championship ikipambana kurejea Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku takwimu zikimpa tabasamu kipa...
Minziro: mambo yatakaa sawa LICHA ya kufungwa bao 1-0 na Simba juzi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Kocha wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro amesema kwa soka walilocheza vijana wake na ushindani walioonyesha...
Simba yaibanjua Pamba Jiji CCM Kirumba Simba leo imeendeleza ubabe katika mechi za ugenini za Ligi Kuu msimu huu huku ikizidi kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Pamba kwenye Uwanja...
RC Mtanda ajibu tuhuma za Simba, ambana Ahmed Ally Simba ilitoa taarifa kwa umma na kudai kuwa imesikitishwa na vitendo visivyo vya kiungwana vilivyofanywa na viongozi wa timu ya Pamba Jiji kwa kushirikiana na mkuu huyo wa mkoa kwa kutumia askari...
Kipa Pamba azitamani namba za Diarra, Camara WAKATI Pamba Jiji ikijiandaa kuvaana na Simba Novemba 22, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, kipa wa timu hiyo, Yona Amos amesema bado hajajipata na anatamani kuwa miongoni mwa...