Mastaa Azam waugua ghafla HALI ya sintofahamu imeibuka kwa wachezaji nyota wa kikosi cha Azam FC, baada ya kudaiwa kukumbwa na tatizo la kupumua kwa shida, lililotokea tangu mechi yao ya Ligi Kuu Bara dhidi ya TRA United,...
Iran yakamia Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Soka la Iran limethibitisha rasmi timu ya taifa ya nchi hiyo itashiriki mashindano ya Kombe la Dunia mwaka huu, licha ya mvutano mkubwa wa kisiasa na kijeshi unaoendelea katika...
Emiliano Martinez kumrithi Becker Liverpool LIVERPOOL inadaiwa kumfuatilia kipa wa Aston Vila na timu ya taifa ya Argentina, Emiliano Martinez, 33, ili akawe mbadala wa kipa wao Alisson Becker anayetarajiwa kuondoka mwisho wa msimu huu.
Wanamichezo walivyong’ara Tuzo za BMT TUZO za Baraza la Michezo la Taifa (BMT), ambazo hutolewa ili kutambua mchango wa wanamichezo bora nchini, zimefanyika usiku wa Mei 9, 2026 katika ukumbi wa The Super Dome Masaki uliopo jijini...
Mrithi wa Casemiro akaribia kutua Old Trafford KWA mujibu wa mwandishi wa habari za usajili kutoka Italia, Alfredo Pedulla, Manchester United inaongoza mbio za kumsajili kiungo wa Atalanta, Ederson ambaye anatazamwa kama mrithi wa Casemiro.
Dabi ya Prague yavunjika, mashabiki wavamia uwanja MECHI kubwa ya dabi ya Jiji la Prague, Jamhuri ya Czech kati ya Slavia Prague na Sparta Prague ilisimamishwa kutokana na vurugu kubwa zilizozuka uwanjani baada ya mamia ya mashabiki kuvamia dimba...
Kocha Madrid afunguka ishu ya Valverde, Tchouameni KOCHA wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa amesema hatawasema vibaya wachezaji wake hadharani kufuatia ugomvi mkubwa uliotokea mazoezini kati ya Federico Valverde na Aurelien Tchouameni, lakini amekiri...
Sababu Ivory Coast kuchagua Philadelphia maandalizi Kombe la Dunia WAKATI mataifa mengi yanayojiandaa na Kombe la Dunia 2026 yakisaka mazingira bora ya maandalizi, Ivory Coast wameonekana kufanya maamuzi ya kimkakati kwa kuichagua Philadelphia kuwa moja ya vituo...
Ivory Coast inavyokabiliwa na mtihani kuvunja rekodi ZIKIWA zimebaki siku chache kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazofanyika kwa mara ya kwanza katika mataifa matatu ya Marekani, Canada na Mexico, macho ya mashabiki wengi...
Ni Samatta vs Greenwood Ufaransa leo SAMAGOAL. Nahodha wa timu ya taifa (Taifa Stars), Mbwana Samatta anayeichezea Le Havre ya Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), leo anatarajiwa kuwa uwanjani kukabiliana na Marseille ya nyota wa kimataifa...