Ronaldo, Ramos waipeleka Ureno 16 bora, ikitua mikononi mwa Hispania
TIMU ya taifa ya Ureno, imefuzu hatua ya 16 bora baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia katika mechi kali na ya kuvutia iliyopigwa Kwenye Uwanja wa BMO, uliopo huko Toronto...