MO Salah amwaga machozi akibeba Misri MSHAMBULIAJI Mohamed Salah alishindwa kuzuia hisia zake za kutokwa na machozi baada ya kuiongoza Misri kupata ushindi wake wa kwanza kabisa katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia.
Ancelotti: Sir Ferguson pekee anaweza kunikosoa KOCHA Carlo Ancelotti amesema atakubali kukosolewa na mtu mmoja pekee anayemwona kuwa ana sifa za kufanya hivyo ni Sir Alex Ferguson.
Everton wamalizana na kiungo Hayden EVERTON imemsajili kiungo Hayden Hackney kutoka Middlesbrough kwa ada ya angalau pauni16 milioni.
Mbwa amponza beki Real Madrid BEKI wa Real Madrid, Ferland Mendy anakabiliwa na uwezekano wa kufungwa jela baada ya mbwa wake kudaiwa kumjeruhi kijana katika tukio la mashambulizi ya kung'ata watu.
Maumivu ya dakika ya 86 timu tatu Afrika KATIKA matukio yaliyotikisa mashabiki wa soka duniani, timu tatu za Afrika zimeondolewa kwa maumivu makubwa katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuruhusu mabao ya ushindi...
Mambo matano magumu kwa Maresca KOCHA mpya wa Manchester City, Enzo Maresca ameshaanza kazi, akiweka sawa mambo kabla ya kuanza na mechi ya ufunguzi wa msimu wa 2026/27 ambayo itakuwa Ngao ya Jamii itakayopigwa Agosti 18, mwaka...
Argentina yatinga 16 Bora, Messi akiendeleza rekodi Argentina imefuzu hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Cape Verde katika mchezo wa kusisimua uliomalizika baada ya dakika 120 kwenye Uwanja wa...
Salah ang'ara, Misri yatinga 16 Bora Timu ya Taifa ya Misri imeandika historia kwa kufuzu hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza baada ya kuiondoa Australia kwa ushindi wa penalti 4-2, kufuatia sare ya bao 1-1...
Ghana yaaga Kombe la Dunia, Colombia kuvaana na Uswisi 16 bora Timu ya Taifa ya Ghana, Black Stars, imeaga Kombe la Dunia 2026 baada ya kuchapwa bao 1-0 na Colombia katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kansas City, Missouri, Marekani.
England inaporejea Azteca ikikumbuka ‘bao la mkono wa Mungu’ MARA tu droo ya Kombe la Dunia ilipokamilika mjini Washington, Marekani, Desemba mwaka jana, tarehe iliandikwa kwenye kalenda na kuwekewa alama nzito na mashabiki wote wa England waliotarajia...