Utovu wa nidhamu wamgharimu Aubameyang, atimuliwa Marseille
HALI ya sintofahamu inaendelea kuikumba klabu ya Marseille nchini Ufaransa, baada ya mshambuliaji, Pierre-Emerick Aubameyang, kuondolewa kikosini kufuatia utovu wa nidhamu kwenye kambi ya timu hiyo.