Yamal akataa kulinganishwa na Haaland, Mbappe Nyota wa Hispania, Lamine Yamal amesema kwamba sio sahihi yeye kulinganishwa na Kylian Mbappe na Erling Haaland kwa vile wao wamemzidi umri.
Uturuki waomba radhi kutolewa Kombe la Dunia Kiungo wa Uturuki, Arda Guler amewaomba radhi mashabiki wao kufuatia kuondolewa mapema kwa timu yao ya taifa katika Fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea Mexico, Marekani na Canada.
Hakimi aonyesha ujasiri kuikabili kesi ya ubakaji, atuliza presha Morocco Nahodha wa Morocco, Achraf Hakimi ameishusha presha timu yake ya taifa, saa chache kabla ya kuivaa Scotland baada ya kusema kuwa uamuzi wa mahakama ya Ufaransa kuhusu tuhuma zake za kubaka haumpi...
Mvutano Ureno? Dada wa Ronaldo aibua taharuki mpya LISBON, Ureno: DAMU nzito... Dada yake Cristiano Ronaldo ameonekana kuunga mkono chapisho la Instagram lililomkosoa Bruno Fernandes, jambo ambalo limezua ya uwezekano wa mvutano ndani ya kambi ya...
Enzo amalizana na Real Madrid KIUNGO Enzo Fernandez ameripotiwa kukubaliana masharti binafsi na Real Madrid kuelekea uhamisho unaowezekana kutoka Chelsea FC.
Luke Shaw kukatwa mshahara Man United BEKI Luke Shaw atalazimika kukubali kupunguziwa mshahara ikiwa anataka kusaini mkataba mpya na Manchester United.
Chelsea kumtoa Jackson kwa Juve Chelsea FC huenda wakamtumia mshambuliaji Nicolas Jackson kama sehemu ya makubaliano ya kumsajili beki wa Juventus FC, Andrea Cambiaso.
Munoz atua Anfield, sasa wafukuzia Diomande LIVERPOOL wamekamilisha usajili wa winga wa Hispania, Victor Munoz, huku pia wakiijulisha RB Leipzig kuwa wako tayari kutoa euro100 milioni kwa ajili ya winga Yan Diomande.
Kone ‘mguu wake umening’inia’ Vancouver FURAHA ya Canada kupata ushindi wake wa kwanza kabisa katika Kombe la Dunia iligubikwa na simanzi kubwa baada ya kiungo nyota Ismael Kone kupata jeraha baya la kutisha wakati wa ushindi wa mabao...
Arsenal kufungua dimba na Coventry City Premier League Ratiba ya Ligi Kuu England 2026/2027 imetolewa rasmi leo Ijumaa, Juni 19, 2026 ikitarajiwa kuanza Agosti 21, 2026 na kumalizika Mei 30 mwakani.