Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Euro 2024 haya yamewabeba kufika robo fainali

    HATUA ya 16 Bora ya Euro 2024 ilimalizika juzi usiku na kesho, Ijumaa, robo fainali ya kundi la kwanza kwa mechi kali mataifa yenye ligi bora katika soka duniani Hispania vs Ujerumani na Ureno vs...

  2. SPORI DOKTA: EURO 2024 Utimamu wa Pepe uwanjani si mchezo

    KIVUMBI cha Fainali za Euro 2024 kinaendelea kutimka kule Ujerumani na sasa michuano hiyo ya Mataifa ya Bara Ulaya imemalizika katika hatua ya makundi na inaingia 16 Bora.

  3. Huu hapa umuhimu wa kufanya mazoezi

    JUMANNE jioni kulikuwa na mjadala wakuvutia kwenye jukwaa la Jamii forum kuhusu umuhimu wa mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza.

  4. SPOTI DOKTA: Stars walikuwa timamu

    Kwa ushindi huo wa bao la mapema dakika ya 5 lililofungwa na Waziri Junior Shentembo unaiweka Taifa Stars katika nafasi ya pili katika kundi E kufuzu Kombe la Dunia 2026.

  5. SPOTI DOKTA: Wasiwasi unavyoathiri upigaji penalti

    JUMAPILI iliyopita, Yanga ilitwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho unaodhaminiwa na Benki ya CRDB kwa ushindi wa penalti 6-5 dhidi ya Azam FC ni baada ya suluhu katika dakika 120.

  6. SPOTI DOKTA: Mei mosi na tishio afya za wachezaji

    Kila Mei Mosi kwa mwaka inaadhimishwa siku ya kimataifa ya wafanyakazi duniani. Chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania na nchi duniani iliyoazimisha siku hiyo hapo jana.

  7. SPOTI DOKTA: Sababu ya majeraha ya Inonga, Lomalisa

    KATIKA Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara kati watani wa jadi, Simba na Yanga iliyochezwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa ilishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1.

  8. Madhara ya mchezaji kukwatuliwa mara nyingi

    Huwa ni kawaida mashabiki au watazamaji wa soka kuwa wepesi wa kulaumu pale wanapoona mchezaji anacheza soka laini au kwa woga uwanjani.

  9. SPOTI DOKTA: Utamu wa Mkude uko hapa

    Wakati Jonas Mkude anatua Yanga 2023 akitokea Simba ambayo aliitumikia kwa kipindi cha miaka zaidi ya miaka 10 ilionekana kuwa zama zake zimekwisha.

  10. SPOTIDOKTA: Sababu za kuanguka na kufariki dunia ghafla

    JANA Jumamosi kwenye ukumbi wa Target, uliopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam mwanamuziki mkongwe wa FM Academia, Maluu Stonch 'Nuhu' alianguka ghafla akiwa jukwaani akiimba kabla ya kukumbwa na...

Previous

Page 6 of 14

Next