Kapombe aanika ramani ya robo fainali CAF KIKOSI cha Simba kinajiandaa kushuka uwanjani usiku huu kumalizana na TRA ya Kilimanjaro katika mechi ya kiporo cha 32 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kabla ya kuigeukia...
Ngoma: Jwaneng? Waacheni waje Kiungo wa Simba, Fabrice Ngoma amefunguka namna watakavyowachakaza Jwaneng Galaxy ya Botswana ikiwa ni mechi ya mwisho ya hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
"Niliachwa na mwanamume kisa haya" "Anti Vic, pole na majukumu ya kazi. Mimi (hataji jina lake) nimeachwa zaidi ya mara mbili na kubwa linalisababisha kufikia huku, ni tabia zangu hasa umbea. Nimeshindwa kujizuia kwenye hilo. Ndio...
Kilichomkuta Pacome, Aucho Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amefunguka wengi hawakufahamu kilichokuwepo nyuma ya pazia kwa viungo wao wawili, Pacome Zouzoua na Khalid Aucho kwenye mchezo dhidi ya CR Belouizdad ya Aljeria,...
Yanga yaitaka fainali CAF Wakati mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara wakitarajiwa kuondoka leo kwenda Cairo, Misri kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly wa hatua ya makundi, Ofisa habari wa Yanga, Ali Kamwe...
Pacome afichua siri mechi ya Al Ahly KIUNGO wa Yanga, Pacome Zouzoua, amesema akilini mwake haiwazi Al Ahly, bali anaifikiria timu watakayokutana nayo kwenye hatua ya robo fainali. Yanga tayari imeshafuzu hatua ya robo fainali...
Benchikha ajifungia na mastaa Simba KIKOSI cha Simba jana kilirejea nchini baada ya kumaliza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Asec Mimosas huko Ivory Coast huku kocha wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha akiwaweka kikao...
Dube ndani ya mtoko wa Pacome WAKATI Azam FC ikiwa jijini Mbeya kupepetana na Tanzania Prisons, mshambuliaji wao Prince Dube yuko Kwa Mkapa kwenye mtoko wa Pacome ili kushuhudia mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga...
Wazawa Yanga waigomea blichi IKIWA imebaki kama saa limoja kabla ya Yanga kushuka Uwanja wa Benjamin Mkapa, kuvaana na CR Belouizdad katika mehci ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyopewa jina maalumu la 'Pacome Day', huku...
Hili ndio balaa la Diara mazoezini Kama unajiuliza juu ya ubora wa kipa wa Yanga Djigui Diarra jamaa anasumbuaje basi fika mazoezini kwao utajua jamaa ni zaidi ya kipa kwa mambo anayoyafanya huko.