Bradley Barcola arudi kwenye rada za Arsenal KLABU ya Arsenal inaripotiwa kuongoza mbio za kumsajili winga machachari wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola, katika kipindi kijacho cha majira ya kiangazi. Hatua hii inakuja baada ya...
Ndiaye wa USM Alger ni kocha wa mataji Kocha wa Msenegali, Lamine Ndiaye aingia katika historia ya soka la Afrika baada ya kuiongoza USM Alger kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika.
Oleksandr Usyk kuzichapa na nguli wa Kickboxing Mfalme asiyepingika wa uzani wa juu duniani, Oleksandr Usyk, atarejea ulingoni wikiendi hii Mei 23, 2026 kukabiliana na bingwa wa zamani wa dunia wa mchezo wa kickboxing, Rico Verhoeven, katika...
Yanga, Azam zapelekwa Mwanza, Simba yarudishwa Arusha SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepanga mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, baina ya Yanga na Azam FC kuchezwa Mwanza katika Uwanja wa CCM Kirumba, Juni 21, 2026.
Waamuzi wamchefua Neymar, Santos ikipokea kichapo MSHAMBULIAJI wa Brazil, Neymar Jr, alijikuta kwenye taharuki kubwa na kupandwa na hasira baada ya kufanyiwa mabadiliko ya lazima kufuatia kosa kubwa lililofanywa na mwamuzi wa akiba.
Tunisia watavunja mwiko Kombe la Dunia? KUNA timu ukizitazama unaweza usisikie kelele, mastaa wa gharama kubwa au presha kutoka kwa mashabiki wao, lakini katika mashindano makubwa zinageuka kuwa tishio miongoni mwao ni Tunisia.
Serengeti Boys imeanza vizuri, hamasa iongezwe USHINDI wa mabao 3-0 ilioupata Serengeti Boys dhidi ya Msumbiji katika mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya Fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 zinazofanyika Morocco, ni...
Bruno abakisha dakika 90 kuweka rekodi mpya EPL NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes ameifikia rekodi ya pasi nyingi za mabao katika msimu mmoja wa Ligi Kuu England baada ya kikosi hicho kuibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Nottingham...
Serengeti Boys yafuzu Kombe la Dunia U-17 USHINDI wa mabao 3-0 ilioupata Timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, leo Mei 17, 2026 dhidi ya Angola, kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U-17) zinazoendelea...