Messi amuwakia mwamuzi Pinheiro NAHODHA wa Argentina, Lionel Messi, alinaswa akibishana kwa hasira na mwamuzi Joao Pinheiro wakati wa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Uswisi uliowapeleka mabingwa watetezi katika nusu fainali ya...
Man United yamnasa kiungo Ubelgiji Manchester United ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Aston Villa, Youri Tielemans, katika harakati za kuimarisha safu yao ya kiungo kabla ya msimu mpya.
Andoni Iraola aihidi makubwa Liverpool KOCHA mpya wa Liverpool, Andoni Iraola, amesema lengo lake kubwa ni kuijenga timu ambayo mashabiki watajivunia, huku akisisitiza yupo tayari kukabiliana na shinikizo la kuinoa moja ya klabu kubwa...
Kane: Tunataka kumaliza kazi mapema NAHIODHA Harry Kane amesema kizazi hiki cha England kimefika wakati wa kuandika historia kwa kutwaa ubingwa baada ya kufika hatua za mwisho mara kadhaa bila kubeba kombe.
Tuchel apewa ramani ya kumfunga Messi ARGENTINA inaonekana inafungika. Tatizo ni kwamba hakuna anayefanikiwa kuifunga. Hilo ndilo fumbo ambalo kocha wa England, Thomas Tuchel, anatakiwa kulitatua kabla ya pambano la nusu fainali ya...
Mshahara kikwazo Salah kutua Saudia NYOTA wa Misri, Mohamed Salah bado anaendelea na mazungumzo ya kuhamia Ligi Kuu ya Saudi Arabia, lakini mshahara anaouhitaji umeonekana kuwa kikwazo kikubwa katika kufanikisha dili hilo.
Nyota wa Barcelona kutimkia PSG MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Ferran Torres anatarajiwa kujiunga na mabingwa wa Ulaya Paris Saint-Germain (PSG) mara baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia 2026.
Jannik Sinner atwaa ubingwa wa Wimbledon KUNA wakati unaweza kuendelea kupiga mpira ukigonga ukuta mara nyingi, lakini mwisho ukajikuta unatamani kuupiga kichwa ukuta huo kwa hasira. Ndivyo ilivyokuwa kwa Alexander Zverev, ambaye...