PRIME Simba v Stellenbosch.... Vita ya mabilionea CAF KITENDO cha Simba kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika huku ikienda kucheza dhidi ya Stellenbosch, ni wazi itakuwa vita ya mabilionea wawili wenye nguvu kubwa ndani ya timu hizo...
Fainali Carabao... Huku Salah, kule Isak MAMBO iko Wembley. Ndicho unachoweza kusema, wakati Liverpool itakapokipiga na Newcastle United kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Ligi, Jumapili.
Arsenal mpo? wale jamaa wanacheza NDIYO hivyo. Hakuna mchezaji yeyote kati ya wanne wa Real Madrid waliokuwa wakichunguzwa na UEFA ambaye atakosa mechi ijayo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Arsenal, Jumanne.
De Bruyne anaondoka Man City na mihela yake TAARIFA iliyopo ni nyota wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubelgiji, Kevin de Bruyne ataondoka katika kikosi hicho mwisho wa msimu huu, baada ya kukitumikia kwa takribani miaka 10.
Soweto Dabi inapoipeleka shule Kariakoo Dabi KAMA wewe ni shabiki wa Yanga au Simba na una tabia ya kununua tiketi siku ya mchezo pindi timu hizo zinapokutana katika Kariakoo Dabi, basi soma hii.
Gundu lamtoa machozi Harry Kane STRAIKA wa Bayern Munich ambaye ni kapteni wa timu ya taifa ya England, Harry Kane, alibubujikwa na machozi baada ya Bayern Munich kutolewa kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Inter...
Arsenal yaiharibia rekodi Real Madrid Ulaya Arsenal inapambana kuchukua taji hili kwa mara ya kwanza katika historia yao ingawa hapo awali iliwahi kushinda lakini wakati huo lilikuwa linaitwa European Cup Winners msimu wa 1993-94.
Unamtaka Alaba? Wahi kajibebee fasta REAL Madrid imeripotiwa kujiandaa kumpiga bei beki matata kabisa, David Alaba kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Arsenal hakuna namna unaambiwa LIGI ya Mabingwa Ulaya ni kitu kilichobeba maana kubwa kwenye msimu wa Arsenal. Na hiyo, ndiyo maana usiku wa Jumatano utakuwa wa hukumu kubwa kwa Kocha Mikel Arteta huko Parc des Princes.
Mbappe macho kodo kwenye Pichichi SUPASTAA straika, Kylian Mbappe ameangusha rekodi moja baada ya nyingine kutokana na kasi yake ya kutikisa nyavu kwenye kikosi chake Real Madrid huko Hispania.