Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

887 results for Thobias Sebastian :

  1. Hii ndio 'Firt Eleven' 2021

    MSIMU uliopita ulikuwa na ushindani mkubwa kwa wachezaji kuwania nafasi za kucheza ili kuzipambania timu zao kupata matokeo.

  2. Kocha Simba atoa faili la ubingwa

    SIMBA imebadilika! Ni kauli ya kocha mkuu wa timu hiyo, Pablo Franco ambaye amesema tangu amekichukua kikosi hicho timu imeimarika, lakini amelia na eneo la ushambuliaji.

  3. Nabi: Tulieni, tunabeba ndoo ashtukia jambo msimbazi

    KUNA watu wamefuraahi kupata sare pale Kwa Mkapa juzi, lakini kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi amewatuliza mashabiki wa timu yake akisema dhamira yao ya kutwaa ubingwa na mataji yote msimu huu...

  4. Inonga afunguka mazito Simba

    SHIRIKISHO la mpira wa miguu la DR Congo wala halikukosea kumchagua Henock Inonga Baka ‘Varane’ kuwa beki bora wa msimu uliopita kutokana na kiwango bora alichonacho.

  5. Kama vipi irudiwe

    GEMU tamu sana. Wachezaji waliipenda na hata mashabiki waliipenda. Takwimu za dakika 90 zinaonyesha hakukuwa na butu butu nyingi ingawa rafu zilionekana.

  6. Mugalu Yanga freshi, Lwanga bado

    KATIKA mechi ya dabi leo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba, watamkosa kiungo wao mkabaji, Taddeo Lwanga kutokana na majeraha ya mguu ambayo bado yanamsumbua.

  7. Barbara azungumzia hali ya Morrison, Mkude

    OFISA mtendaji mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez amewaita mashabiki wa timu hiyo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa na wanatakiwa kujitokeza kwa wingi kuishangia chama lao.

  8. Hapo vipi

    UBISHI uko hapa! Nani aanze. Mashabiki vijiweni wamechanganyikiwa na makocha nao mazoezini wanakuna vichwa. Mchuano ni mkali kila mmoja anataka namba Kwa Mkapa kesho.

  9. Hapa hamtoki, Pablo atoa neno

    KWA ‘mziki’ huu hamtoki, ndio tambo za mashabiki kwenye mitandao ya kijamii pamoja na vijiwe mbalimbali vya soka nchini kila moja akivutia upande wake kuhusu mechi kubwa ya kitaifa yenye historia...

  10. Simba wasipoboresha haya, wataambulia patupu

    SIMBA imetinga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika tangu kuanzishwa kwa mfumo huo 2009 baada ya kuiondoa Red Arrows ya Zambia kwa jumla ya mabao 4-2.

Previous

Page 37 of 89

Next