Real Madrid yaruka kimanga kwa Olise Real Madrid wamekanusha taarifa zilizokuwa zikiwahusisha na winga wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Michael Olise.
Ronaldo aibua jipya mazoezini SIKU chache baada ya kuibua mjadala kutokana na ufanisi wake katika mechi ya kwanza ya Kombe la Dunia 2026, straika wa Argentina, Cristiano Ronaldo amejikuta katika vinywa vya mashabiki wa soka...
Fikiri Elias aweka rekodi ya kwanza Coastal KOCHA Fikiri Elias, ameanza na mguu mzuri ndani ya Coastal Union akifanikiwa kuweka rekodi ambayo watangulizi wake wameishindwa.
Gwiji ampeleka Mbappe Arsenal WAKATI mustakabali wa mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe, ukiendelea kuwa gumzo licha ya kuwa mmoja wa nyota wakubwa wa klabu hiyo, kiungo wa zamani wa Monaco, Arsenal, Barcelona na...
Tanzania yajiandaa kutangaza Utalii Kombe la Dunia 2026 Wizara ya Maliasili na Utalii, imepanga kutumia Fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico kuanzia mwezi ujao, kutangaza vivutio vya utalii hapa nchini.
Coca Cola yazindua kampeni ya Kombe la Dunia KAMPUNI ya Coca Cola Tanzania imezindua kampeni ya kitaifa ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 inayolenga kuwaunganisha mashabiki wa soka nchini kupitia burudani, promosheni mbalimbali na shughuli za...
Amorim atajwa kutua AC Milan ALIYEKUWA kocha mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim ni mmoja wa makocha wanaopewa nafasi kubwa ya kuifundisha AC Milan.
Ubelgiji yatinga 32 bora ikiongoza kundi G USHINDI wa mabao 5-1 ilioupata Ubelgiji kwenye mechi ya kundi G, umeifanya timu hiyo ifuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia ikikusanya pointi tano na kukaa kileleni. Imeungana na Misri...
Canada yatinga 16 bora Sauzi ikishindwa kujishikilia Kombe la Dunia CANADA inakuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya dakika za jioni kuichapa Afrika Kusini bao 1-0.