Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8818 results for Mwandishi :

  1. Carrick atia neno afya ya Fergie

    KOCHA wa muda wa Manchester United, Michael Carrick ameweka wazi jinsi alivyoguswa na taarifa za ghafla kuhusu afya ya Sir Alex Ferguson, aliyekimbizwa hospitali muda mfupi kabla ya mechi dhidi...

  2. Chelsea yamtoa machozi Thiago Silva, mashabiki wamuunga mkono

    MAPENZI ya Thiago Silva kwa klabu yake ya zamani, Chelsea, yameonekana kumpa maumivu makali baada ya kushuhudia vijana hao wa London wakisulubiwa nyumbani dhidi ya Nottingham Forest jana...

    SILVA Pict
  3. Nyota 23 wa DR Congo kucheza BDL 2026

    WAKATI Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ikitarajiwa kuanza Mei 16, mwaka huu, wachezaji 42 wa kimataifa wamesajiliwa katika timu tofauti, huku 23 wakiwa Wakongomani.

  4. Enzo Maresca achomoza warithi Guardiola Man City

    KOCHA wa zamani wa Chelsea FC Enzo Maresca ameibuka kinara katika orodha ya makocha wanaoweza kumrithi Pep Guardiola Manchester City, iwapo Mhispania huyo ataamua kuondoka mwishoni mwa msimu huu.

    WARITHI Pict
  5. Dabi ya Prague yavunjika, mashabiki wavamia uwanja

    MECHI kubwa ya dabi ya Jiji la Prague, Jamhuri ya Czech kati ya Slavia Prague na Sparta Prague ilisimamishwa kutokana na vurugu kubwa zilizozuka uwanjani baada ya mamia ya mashabiki kuvamia dimba...

    DABI Pict
  6. Simba, Yanga zagawana tuzo za kocha, mchezaji bora Februari

    MSHAMBULIAJI wa Yanga Laurindo Dilson 'Depu' amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2025/26, huku kocha wa Simba, Steve Barker akichaguliwa kuwa Kocha...

  7. Hali mbaya kiuchumi yaiyumbisha Junguni United

    UONGOZI wa Junguni United inayoshiriki Ligi Kuu Zanziabar, umesema hauna uhakika wa kusafiri kwa ajili ya mechi mbili za mzunguko wa 25 na 26 kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo.

    JUNGUNI Pict
  8. Jesse Derry apunguza hofu Chelsea

    KINDA wa Chelsea, Jesse Derry, ametuma ujumbe wa kuwatuliza mashabiki baada ya kupata jeraha la kichwa lililompelekea kulazwa hospitalini wakati wa mchezo dhidi ya Nottingham Forest.

    JESSE Pict
  9. Ndugu wagawa familia Kombe la dunia

    MAISHA yanaweza kuwa ya ajabu, hata ya kushangaza wakati mwingine. Hilo hujitokeza hasa tunapokutana na visa vya ndugu waliozaliwa na wazazi wale wale lakini wakawakilisha nchi tofauti.

    NDUGU Pict
  10. Mourinho arejea Real Madrid, Perez akimwaga Sh453 bilioni za usajili

    Jose Mourinho amerejea rasmi kuwa kocha mkuu wa Real Madrid baada ya Florentino Perez kushinda tena uchaguzi wa urais wa klabu hiyo.

    MOURINHO Pict
Previous

Page 356 of 882

Next