Carrick atia neno afya ya Fergie KOCHA wa muda wa Manchester United, Michael Carrick ameweka wazi jinsi alivyoguswa na taarifa za ghafla kuhusu afya ya Sir Alex Ferguson, aliyekimbizwa hospitali muda mfupi kabla ya mechi dhidi...
Chelsea yamtoa machozi Thiago Silva, mashabiki wamuunga mkono MAPENZI ya Thiago Silva kwa klabu yake ya zamani, Chelsea, yameonekana kumpa maumivu makali baada ya kushuhudia vijana hao wa London wakisulubiwa nyumbani dhidi ya Nottingham Forest jana...
Nyota 23 wa DR Congo kucheza BDL 2026 WAKATI Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ikitarajiwa kuanza Mei 16, mwaka huu, wachezaji 42 wa kimataifa wamesajiliwa katika timu tofauti, huku 23 wakiwa Wakongomani.
Enzo Maresca achomoza warithi Guardiola Man City KOCHA wa zamani wa Chelsea FC Enzo Maresca ameibuka kinara katika orodha ya makocha wanaoweza kumrithi Pep Guardiola Manchester City, iwapo Mhispania huyo ataamua kuondoka mwishoni mwa msimu huu.
Dabi ya Prague yavunjika, mashabiki wavamia uwanja MECHI kubwa ya dabi ya Jiji la Prague, Jamhuri ya Czech kati ya Slavia Prague na Sparta Prague ilisimamishwa kutokana na vurugu kubwa zilizozuka uwanjani baada ya mamia ya mashabiki kuvamia dimba...
Simba, Yanga zagawana tuzo za kocha, mchezaji bora Februari MSHAMBULIAJI wa Yanga Laurindo Dilson 'Depu' amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2025/26, huku kocha wa Simba, Steve Barker akichaguliwa kuwa Kocha...
Hali mbaya kiuchumi yaiyumbisha Junguni United UONGOZI wa Junguni United inayoshiriki Ligi Kuu Zanziabar, umesema hauna uhakika wa kusafiri kwa ajili ya mechi mbili za mzunguko wa 25 na 26 kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo.
Jesse Derry apunguza hofu Chelsea KINDA wa Chelsea, Jesse Derry, ametuma ujumbe wa kuwatuliza mashabiki baada ya kupata jeraha la kichwa lililompelekea kulazwa hospitalini wakati wa mchezo dhidi ya Nottingham Forest.
Ndugu wagawa familia Kombe la dunia MAISHA yanaweza kuwa ya ajabu, hata ya kushangaza wakati mwingine. Hilo hujitokeza hasa tunapokutana na visa vya ndugu waliozaliwa na wazazi wale wale lakini wakawakilisha nchi tofauti.
Mourinho arejea Real Madrid, Perez akimwaga Sh453 bilioni za usajili Jose Mourinho amerejea rasmi kuwa kocha mkuu wa Real Madrid baada ya Florentino Perez kushinda tena uchaguzi wa urais wa klabu hiyo.