Arsenal kuibamiza Madrid mbona kawaida JANA Arsenal ilifanikiwa kuichapa Real Madrid mabao 3-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kilikuwa kipigo cha kushtusha kwa mashabiki wa soka...
Al Ahly, Mamelodi Sundowns zatinga nusu fainali, zakomaa ugenini Al Ahly na Mamelodi Sundowns jana zimeweza kuzidhibiti Al Hilal na Esperance kupata ushindi dhidi yao katika mechi za marudiano za hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zilizochezwa...
Hebu sikieni Mbappe kuna kitu kasema SUPASTAA, straika Kylian Mbappe amewaambia wachezaji wenzake wa Real Madrid wanapaswa kujitazama baada ya kiwango cha hovyo walichokionyesha kwenye mechi dhidi ya Arsenal usiku wa Jumanne.
Mtu mbili kuwania buti za De Bruyne Man City MANCHESTER City ipo sokoni kumsaka mrithi wa kudumu wa kiungo Kevin De Bruyne na kwenye hilo mtego wao umetegwa huko Nottingham Forest wakimtaka staa wa timu hiyo, Morgan Gibbs-White, imeelezwa.
Slot afichua siri ya mkataba mpya Liverpool KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amefungua milango ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia kwenye kikosi hicho na kufunguka kwamba ameelewa kwanini kocha wa zamani wa timu hiyo Jurgen Klopp...
Dah! Olympique Lyon yamponza Onana KIPA wa Manchester United aliondolewa katika kikosi kilichosafiri kwenda Newcastle jana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Newcastle United.
Kwa Lewandowski, hata Ronaldo, Messi hawana MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Robert Lewandowski aliweka rekodi mpya katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ambayo hata Lionel Messi na Cristiano Ronaldo hawana.
Chelsea shida ni mishahara LICHA ya kufanya kazi ya ziada kwa ajili ya kutafuta mshambuliaji mpya kuelekea dirisha lijalo, ripoti zinaeleza wanakumbana na ugumu wa kumsaini mshambuliaji wa kiwango cha juu kutokana na...
Virgil van Dijk amalizana na Liverpool BAADA ya kufanikisha kumsainisha mkataba mpya wa miaka miwili mshambuliaji wao Mohamed Salah, mabosi wa Liverpool wanadaiwa pia kufikia makubaliano ya kumsainisha mkataba mpya beki na kapteni...
Amorim alilia bahati ya Arteta KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amedai kwamba anahisi hatapewa muda wa kutosha wa kuijenga timu hiyo kama ambavyo Mikel Arteta amepewa huko Arsenal.