UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kibwana ni Kapombe wa miaka 10 iliyopita
TANZANIA tuliteketea kwa mabao 2-1 dhidi ya Msumbiji pale mjini Maputo mwaka 2014. Aliyekuwa beki wa kulia wa Tanzania jioni ile, kijana mdogo wa miaka 22, Shomari Kapombe aliketi juu ya nyasi za...