Harambee Stars yafukuzia bao la 100 ikiikabili Ivory Coast leo
LEO Oktoba 14, 2025, itakuwa siku ya kukumbukwa zaidi na mataifa mawili ya Ivory Coast na Kenya, hiyo ni baada ya kumalizika kwa dakika tisini za mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia la FIFA 2026.