Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8777 results for Mwandishi :

  1. Hii hapa ratiba ya gwaride la ubingwa Arsenal

    SHANGWE zinaendelea kwa mashabiki wa Arsenal baada ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa Premier League kwa mara ya kwanza baada ya miaka 22.

  2. Ronaldo atoa kauli baada ya ubingwa kutoweka

    “Ndoto iko karibu kutimia. Tuinue vichwa kwa imani, bado kuna hatua moja ya mwisho! Asanteni wote kwa sapoti kubwa usiku wa leo!” Kauli hii ya Cristiano Ronaldo imeibua hisia kali miongoni mwa...

  3. Tuchel atangaza Kikosi cha England, atema mastaa

    KOCHA mkuu wa England, Thomas Tuchel, ameshtua wadau wengi wa soka baada ya kutangaza kikosi chake cha wachezaji 26 kwa ajili ya Kombe la Dunia 2026, akiwabwaga baadhi ya majina makubwa.

    ENGLAND Pict
  4. Fainali Kombe la Dunia kunogeshwa na hawa

    ORODHA ya mastaa watakaotumbuiza katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2026 imetajwa rasmi, huku ikijumuisha baadhi ya wasanii wakubwa duniani pamoja na waigizaji maarufu wa kipindi cha...

    DUNIA Pict
  5. Ahadi ya Rio kwa soka la Tanzania

    Nyota wa zamani wa Manchestsr United na England, Rio Ferdinand jana alianza rasmi ziara yake nchini kwa mapokezi makubwa huku akitoa ahadi ya kuhakikisha analisaidia soka la Tanzania kupiga hatua.

  6. Ghetto Kids kutumbuiza na Shakira Kombe la Dunia 2026

    Kundi maarufu la watoto wanaocheza muziki kutoka Uganda, Ghetto Kids, limepata nafasi kubwa ya kimataifa baada ya kualikwa na staa wa muziki kutoka Colombia, Shakira kushiriki kwenye burudani ya...

  7. Tuchel avujisha kikosi cha England, Danny Welbeck yumo

    KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya England, Thomas Tuchel, anatarajiwa kuwasilisha orodha ya awali ya wachezaji 55 kwa ajili ya Kombe la Dunia 2026. Hata hivyo, majina matatu ya wachezaji...

    TUCHEL Pict
  8. Kamba ya pamoja huvuta mzigo mzito, Yanga yakamilisha faini

    Mashabiki na wanachama wa klabu ya Yanga wameonyesha jeuri ya fedha baada ya kufanikisha kuchangisha zaidi ya Sh31 milioni kwa ajili ya kulipa faini iliyotolewa na Kamati ya Uendeshaji na...

  9. Gary Neville ashtushwa na taarifa za kuondoka kwa Guardiola

    Habari za ghafla kuhusu kuondoka kwa kocha wa Manchester City, Pep Guardiola zimegonga vichwa vya habari na kumshtua mchambuzi wa soka Gary Neville, huku zikitokea katikati ya mchezo wa Arsenal...

    NEVILLE Pict
  10. Namungo, Mbeya City hakuna mbabe

    MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya Namungo dhidi ya Mbeya City, imeshindwa kutoa mshindi, baada ya timu hizo kumaliza dakika 90 zikifungana bao 1-1 kwenye Uwanja wa Majaliwa mkoani Lindi.

Previous

Page 298 of 878

Next