Kocha Ken Gold: Nakwenda kujitathimini Wakati Ken Gold ikipokea kipigo Cha tatu kwa kupoteza bao 1-0, kocha wa timu hiyo, Fikiri Elias anafikiria kuachia ngazi kuifundisha.
Nasredine Nabi atoa ushauri wa bure Azam FC KOCHA wa Kaizer Chiefs, Nasredine Nabi amewatuliza mashabiki na mabosi wa Azam kwa kuwaambia wampe muda kocha mpya kwani ana kitu atawafikisha mbali.
Taoussi ashusha presha Azam FC KOCHA mpya wa Azam FC, Rachid Taoussi ameanza na suluhu katika Ligi Kuu Bara akiiongoza kwa mara ya kwanza dhidi ya Pamba Jiji, huku akisema hana presha na matokeo hayo na mambo mazuri yatakuja...
Goran ambeba Yona, alili bao Chamazi PAMBA Jiji bado inaendelea kujitafuta baada ya kurejea Ligi Kuu ikiwa imepita miaka 23 tangu iliposhuka daraja, lakini kocha wa timu hiyo, Goran Kopunovic akimtaja kipa Yona Amos kama mchezaji...
Fadlu: Kijili anachangamoto inayohitaji muda kuisha IKIWA imesalia saa chache kabla ya Simba kushuka kwenye Uwanja wa Juni 11, jijini Tripoli Libya kuvaana Al Ahli Tripoli, kocha wa kikosi hicho cha Msimbazi, Fadlu Davids amemtaja Kelvin Kijili...
Mmorocco wa Azam na kipimo cha Pamba KOCHA Mkuu mpya wa Azam FC, Rachid Taoussi kwa mara ya kwanza leo Jumamosi anatarajiwa kutupa karata katika mechi ya Ligi Kuu Bara wakati atakapokiongoza kikosi hicho dhidi ya Pamba Jiji, huku...
Tabora United, Tanzania Prisons kazi ipo BAADA ya ushindi wa pili mfululizo katika Ligi Kuu Bara, Tabiora United leo inarudi tena uwanjani kuikabili Tanzania Prisons inayosaka ushindi wa kwanza katika ligi hiyo, mechi itakayopigwa kesho...
PRIME Fadlu kuisapraizi Al Ahli Tripoli WAKATI Simba ikiwa njiani kwenda Libya kuvaana na Al Ahli Tripoli, kocha wa Wekundu hao, Fadlu Davids amefunguka jinsi alivyopangwa kuwasapraizi wenyeji wao katika mechi hiyo ya mkondo wa kwanza...
PRIME Simba yafukua faili la Mpanzu KAMA uliona bado mapema kwa Simba kutafuta mchezaji wa kumsajili dirisha dogo msimu huu, basi umekosea, kwani Wekundu hao wamegonga hodi tena kwa Winga Mkongoman Elie Mpanzu, huku mwenyewe...
PRIME Hesabu mpya za Yanga kwa Wahabeshi WAKATI kesho Alhamisi kikosi cha Yanga kikitarajia kusafiri kuelekea Ethiopia, kuna matumaini yapo kwao ya kufanya vizuri ugenini kabla ya kurudi nyumbani kumalizia kazi.