Mbappe wa Azam apelekwa KMC UONGOZI wa KMC uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya winga wa Azam FC, Cheickna Diakite ‘Mbappe’ kwa mkopo wa miezi sita, baada ya nyota huyo kuomba kutolewa kwenda timu nyingine ili akapate...
Amza kujitafuta upya Kagera Sugar BAADA ya Klabu ya Kagera Sugar kumrejesha aliyekuwa mshambuliaji wa kikosi hicho raia wa Cameroon, Moubarack Amza kutoka Namungo, nyota huyo ameweka wazi anaenda kujitafuta upya mzunguko wa pili...
Gomez wa Fountan Gate auanza mwaka vibaya MSHAMBULIAJI wa Fountain Gate, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ ameendelea kukumbwa na majanga baada ya kuumia tena nyama za paja, ambazo zilimfanya kukosa mchezo wa timu hiyo dhidi ya Yanga, ambao kikosi...
PRIME Fadlu acheza akili kubwa Simba KIKOSI cha Simba, kinatarajia kuondoka nchini kesho Jumatano alfajiri kwenda Tunisia kwa ajili ya mchezo wa nne wa makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Sfaxien ya nchini humo, huku...
Makocha Walioufunga Mwaka 2024 wakitimuliwa WAKATI kesho tukitarajia kuingia mwaka mpya wa 2025 kwa kudra za Mwenyezi Mungu, tayari makocha 12 wa Ligi Kuu Bara kati ya timu 16 zinazoshiriki msimu wa 2024-2025, wameondoka ikiwa ndio kwanza...
Watano wakoleza moto Chama la Wana MABOSI wa ‘Chama la Wana’, Stand United wameanza kuboresha kikosi hicho katika dirisha hili dogo kwa kuingiza nyota wapya watano watakaoongeza morali na wale waliopo, kwa lengo la kuhakikisha...
Josiah aachiwa msala Tanzania Prisons KLABU ya Tanzania Prisons imefikia makubaliano ya kumpa mkataba hadi mwisho wa msimu huu aliyekuwa kocha wa Geita Gold, Amani Josiah, ikiwa ni muda mfupi tangu timu hiyo ya Maafande iachane na...
Mastraika TMA wampa jeuri Mwalwisi KATIKA kuhakikisha TMA inafanya vizuri katika Ligi ya Championship msimu huu, kocha mkuu wa kikosi hicho, Maka Mwalwisi ameweka wazi kuridhishwa na safu yake ya ushambuliaji hadi sasa, huku...
Josiah afichua siri ya Maguli BAADA ya Geita Gold kuinasa saini ya mshambuliaji, Elias Maguli kutoka Biashara United, kocha wa timu hiyo, Amani Josiah amesema usajili wa nyota huyo ni wa kimkakati ili kuongezea makali safu...
Kapama, Gustavo watua Fountain Gate KLABU ya Fountain Gate iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa viungo Nassor Kapama kutoka Kagera Sugar na Daniel Joram ‘Gustavo’ kutokea Pamba, ili kuongezea nguvu katika timu hiyo...