Arteta aanza kutafuta kisingizio KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amekiri majeruhi wengi kwenye kikosi chake limekuwa tatizo linalowatatiza kwenye mchakamchaka wao wa kusaka ubingwa wa Ligi Kuu England.
Mpoki ateuliwa mhariri Mtendaji Mkuu MCL KAMPUNI ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mpoki Thomson kuwa mhariri mtendaji mkuu mpya ili kuimarisha mabadiliko ya kihabari kuelekea mfumo wa kidijitali unaoongozwa na ubunifu...
FIFA yakoleza utamu usajili wa mastaa EPL MAMBO ni moto. Ligi Kuu England inaweza kuwa na madirisha mawili ya usajili wa majira ya kiangazi mwaka huu baada ya klabu kupiga kura na kukubaliana jambo ya hilo.
Ancelotti hatarini kufungwa jela KOCHA Carlo Ancelotti amejiweka kwenye hatari ya kufungwa jela kwa zaidi ya miaka minne baada ya kudaiwa kukwepa kulipa kodi, mahakama moja ya Hispania imefichua. cha Real Madrid kilitarajiwa...
Ekitike azidi kuwa lulu Ujerumani MSHAMBULIAJI wa Eintracht Frankfurt, Hugo Ekitike ameziweka njiapanda timu kubwa England zinazohitaji saini yake dirisha ljalo.
PRIME Mzize akutana na Wydad AC SIKU za mshambuliaji Clement Mzize ndani ya Yanga ni kama zinahesabika baada ya kubakiza hatua moja tu kukamilisha dili lake la kutua Wydad Athletic ya Morocco.
Andrea Berta rasmi atua Arsenal ARSENAL imethibitisha uteuzi wa mkurugenzi mpya wa michezo, Andrea Berta, ambaye kazi yake kubwa itakuwa kufanya usajili wa kuleta mastaa wapya kwenye kikosi hicho cha kocha Mikel Arteta.
Haaland ndo hivyo tena Man City MANCHESTER City imefichua kwamba straika wao Erling Haaland huenda akakaa nje kwa siku kadhaa msimu huu baada ya kupata maumivu ya enka.
Man City yakubali hasara kwa Grealish MANCHESTER CITY iko tayari kupata hasara ya Pauni 60 milioni kwa kumuuza Jack Grealish katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Dili la kuwanasa Mbeumo, Eze kuna timu inateseka MAMBO ni moto. Ndicho unachoweza kusema kwa kile kinachoendelea kwenye dirisha hili la usajili wa majira ya kiangazi huko Ulaya.