Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

688 results for Victoria Melkiad :

  1. Taoussi aziwekea mtego Simba, Yanga

    UNAWEZA kuona kama ni mapema hivi, lakini sio kwa kocha wa Azam FC Rachid Taoussi ambaye rekodi za kikosi chake zinazimpa jeuri na kusema mpango wake mpya ni dhidi ya Simba na Yanga.

  2. PRIME Fadlu ana kazi kubwa ya kufanya

    WAKATI Simba ikitarajiwa kucheza dhidi ya CS Constantine ugenini, kocha mkuu wa kikosi hicho, Fadlu Davids amesema mbali na kufanya mazoezi, atadili sana na suala zima la saikolojia ya wachezaji.

    Fadlu Pict
  3. Luhende: Kashfa dawa za kulevya ziliniharibia, Mecky Mexime akaniokoa

    MAISHA yanaweza kubadilika wakati wowote bila hata kutarajia ni muda gani na yatakuaje. Mbaya zaidi ukiwa mtu maarufu kwani ukubwa wa jina lako unaweza kuwa sawa na tatizo lako.

    Luhende Pict
  4. Guinea,Sudan zaipaisha Tanzania FIFA

    USHINDI wa mechi mbili dhidi ya Sudan na Guinea umeipaisha Tanzania kwenye viwango vya ubora vinavyotolewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).

    Stars Pict
  5. PRIME Yanga kumechangamka, nondo zote kwa Ramovic

    KOCHA mpya wa Yanga, Sead Ramovic jana jioni alitarajiwa kuwa na kikosi chake kamili baada ya mastaa wa timu hiyo waliokuwa wanayawakilisha mataifa yao kurejea lakini huko mambo yameanza kuiva...

    Side Pict
  6. PRIME Msikie Fadlu kuhusu Manula, Camara

    BAADA ya makipa wa Simba, Aishi Manula na Moussa Camara kuuwasha moto katika mechi za kufuzu Afcon 2025, kocha wa kikosi hicho, Fadlu Davids amebainisha kuwa kuna kazi kubwa katika kuwania namba...

  7. Job afichua mbinu walizotumia kumzuia Guirassy

    HAIKUWA kazi rahisi kwa safu ya ulinzi ya Taifa Stars iliyoongozwa na mabeki wa kati, Dickson Job na Ibrahim Bacca kumzuia mshambuliaji tegemeo wa Guinea na Klabu ya Borussia Dortmund, Serhou...

  8. Dakika 270 zaibua matumaini Kagera

    OFISA Mtendaji Mkuu wa Kagera Sugar, Thabit Kandoro amesema anaridhishwa na mwenendo wa timu hiyo katika matokeo ya mechi tatu zilizopita akimtaja kocha mpya, Melis Medo kuwa ndiye chanzo.

    Kandoro Pict
  9. Mahusiano yalivyompa maisha Best King

    Wakati wengi wakikata tamaa kutokana na maumivu mbalimbali ikiwemo ya mapenzi, maisha na mengine, lakini kwa upande wa mtengeneza maudhui na mwigizaji Collins Frank ‘Best King’ yamempa maisha.

  10. PRIME NABI: Mtafurahi! Ataja mambo matano kocha mpya Yanga SC, atuma salamu

    MASHABIKI wa Yanga wanasubiri kuiona timu yao ikianza maisha mapya bila ya Miguel Gamondi ambaye ndoa yake na klabu hiyo ilisitishwa juzi, Ijumaa.

Previous

Page 27 of 69

Next