Mourinho kwenye listi ya makocha Brazil TOVUTI ya Globo imefichua kocha wa Fenerbahce, Jose Mourinho yupo katika orodha ya makocha ambao chama cha soka cha Brazil kinataka kuwaajiri.
Hatimaye Mukwala kaanza Baada ya Mwanaspoti kuripoti namna mastaa wa zamani wa Simba wanavyotamani kuona kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akimuanzisha Steven Mukwala dhidi ya Al Masry na kumuweka benchi Leonel Ateba...
NDOTO: Kocha Barcelona akili iko kwenye mataji matatu tu KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick amepuuza wazo la kusaini mkataba wa muda mrefu na Barcelona licha ya kuwekewa ofa mezani na badala yake anataka kuwekeza akili yake kwenye kushinda mataji matatu...
Mtoto wa mwenye timu amfuata Arteta JOSH Kroenke, mtoto wa tajiri mmiliki wa klabu ya Arsenal amewasili London kwenda kukutana na kocha wa timu hiyo, Mikel Arteta kuzungumza namna msimu unavyokwenda kumalizika kwenye kikosi hicho.
Luis Enrique: Anfield itatujua KOCHA wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique ameionya Liverpool kwamba vijana wake watakuwa hatari zaidi uwanjani Anfield.
Kimmich afichua siri kubaki Bayern KIUNGO fundi wa mpira, Joshua Kimmich amefichua kwamba sababu ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki Bayern Munich kwa vile ni mahali anapoamini atafanikiwa kuliko kwenda kwingineko.
Bosi kasema... Man United itasajili MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Manchester United, Omar Berrada amesema kocha Ruben Amorim ameanza kujadiliana na mabosi wa klabu juu ya mipango ya dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi...
Arteta akubali yaishe, ataka nafasi ya pili KOCHA Mikel Arteta amewataka mastaa wake wa Arsenal kushinda vita ya kumaliza namba mbili Ligi Kuu England msimu huu baada ya kuwaambia: “Kama hamuwezi kuwa namba moja, basi walau muwe namba mbili.”
Slot afichua siri ya Mohamed Salah KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, amefichua siri ya kinachosababisha ukame wa mabao wa staa wake, Mohamed Salah katika kipindi cha hivi karibuni.
Huko Liverpool ni vicheko tu HUENDA ukawa ni mwezi mzuri sana kwa Liverpool kutokana na matukio ambayo yanajiri kwao kuanzia ndani ya uwanja na nje ya uwanja.