Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8754 results for Mwandishi :

  1. Mourinho kwenye listi ya makocha Brazil

    TOVUTI ya Globo imefichua kocha wa Fenerbahce, Jose Mourinho yupo katika orodha ya makocha ambao chama cha soka cha Brazil kinataka kuwaajiri.

  2. Hatimaye Mukwala kaanza

    Baada ya Mwanaspoti kuripoti namna mastaa wa zamani wa Simba wanavyotamani kuona kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akimuanzisha Steven Mukwala dhidi ya Al Masry na kumuweka benchi Leonel Ateba...

    MUKWALA Pict (1)
  3. NDOTO: Kocha Barcelona akili iko kwenye mataji matatu tu

    KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick amepuuza wazo la kusaini mkataba wa muda mrefu na Barcelona licha ya kuwekewa ofa mezani na badala yake anataka kuwekeza akili yake kwenye kushinda mataji matatu...

  4. Mtoto wa mwenye timu amfuata Arteta

    JOSH Kroenke, mtoto wa tajiri mmiliki wa klabu ya Arsenal amewasili London kwenda kukutana na kocha wa timu hiyo, Mikel Arteta kuzungumza namna msimu unavyokwenda kumalizika kwenye kikosi hicho.

    MTOTO Pict
  5. Luis Enrique: Anfield itatujua

    KOCHA wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique ameionya Liverpool kwamba vijana wake watakuwa hatari zaidi uwanjani Anfield.

    LUIS Pict
  6. Kimmich afichua siri kubaki Bayern

    KIUNGO fundi wa mpira, Joshua Kimmich amefichua kwamba sababu ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki Bayern Munich kwa vile ni mahali anapoamini atafanikiwa kuliko kwenda kwingineko.

    KIMICH Pict
  7. Bosi kasema... Man United itasajili

    MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Manchester United, Omar Berrada amesema kocha Ruben Amorim ameanza kujadiliana na mabosi wa klabu juu ya mipango ya dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi...

    MAN Utd Pict
  8. Arteta akubali yaishe, ataka nafasi ya pili

    KOCHA Mikel Arteta amewataka mastaa wake wa Arsenal kushinda vita ya kumaliza namba mbili Ligi Kuu England msimu huu baada ya kuwaambia: “Kama hamuwezi kuwa namba moja, basi walau muwe namba mbili.”

  9. Slot afichua siri ya Mohamed Salah

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, amefichua siri ya kinachosababisha ukame wa mabao wa staa wake, Mohamed Salah katika kipindi cha hivi karibuni.

    SLOT Pict
  10. Huko Liverpool ni vicheko tu

    HUENDA ukawa ni mwezi mzuri sana kwa Liverpool kutokana na matukio ambayo yanajiri kwao kuanzia ndani ya uwanja na nje ya uwanja.

    LIVERPOOL Pict
Previous

Page 251 of 876

Next