Mbongo ala shavu Misri MSHAMBULIAJI wa zamani wa Mlandege FC ya Zanzibar, Oscar Evalisto amejiunga na Makadi FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili, Misri.
Gadiel arejesha majeshi Singida BAADA ya kuvunja mkataba na Chippa United ya Afrika Kusini, Mtanzania Gadiel Michael ametimkia Singida Black Stars.
Mgaya atamani makubwa Coastal STRAIKA mpya wa Coastal Union, Ally Mgaya amesema anatamani kufanya makubwa akiwa katika kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Juma Mwambusi.
TUZO ZA GRAMMY: Hapa kina Mondi, Alikiba, Nandy kuna vigezo, wataweza? PENGINE baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza kwa nini muziki wa Nigeria unazidi kukua siku hadi siku na wasanii wao wakichaguliwa kuwainia tuzo mbalimbali kubwa za muziki zikiweko za Grammy.
Elizabeth John: Anavyojigawa kwenye masomo na kucheza mpira KWENYE ulimwengu wa michezo, soka umekuwa moja ya burudani kubwa inayovuta hisia za mamilioni ya watu kote duniani.
Arajiga, wengine watatu wapewa Berkane SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limemteua mwamuzi Ahmed Arajiga na wenzake watatu kuchezesha mechi ya Kundi B Kombe la Shirikisho Afrika kati ya RS Berkane ya Morocco na Stellenbosch ya Afrika...
PRIME Ramovic kuchukua uamuzi mzito Yanga YANGA haitaki chochote Jumamosi hii zaidi ya ushindi mbele ya MC Alger. Hali hiyo imemfanya Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Sead Ramovic, kuchukua uamuzi mzito ili kuhakikisha wanatoboa.
Abdi Banda aibukia Dodoma Jiji BEKI kisiki wa zamani wa Coastal Union, Simba na Mtibwa Sugar, Abdi Banda amejiunga na Dodoma Jiji kama mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Baroka FC ya Afrika Kusini.
PRIME Muvi nzima ya Aisha Mnunka Simba HATIMAYE ile muvi ya mshambuliaji wa Simba Queens imemalizika baada ya mchezaji huyo kukubali yaishe na kurudi unyamani.
PRIME Hesabu za Ubaya Ubwela robo fainali CAFCC IMEKUWA ni kama jambo la kawaida kwa mashabiki wa Simba kuiona timu yao ikifuzu robo fainali kwenye michuano inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya juzi kufanya hivyo kwa mara...