Ngorongoro, Serengeti kivumbi na jasho AFCON 2025 TIMU za Taifa za Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys na ile ya chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, kila moja imepangwa kundi A na mwenyeji kwenye michuano ya AFCON kwa vijana...
Man City yafukuzia rekodi chafu England MANCHESTER City ipo kwenye hatari ya kufikia rekodi za hovyo za Manchester United baada ya kushindwa kupata ushindi wowote kwenye mechi zao saba za mwisho katika michuano yote.
Arsenal wanalo hilo Ligi ya Mabingwa Ulaya NDO hivyo. Arsenal inakabiliwa na njia ngumu katika mchakamchaka wao wa kufukuzia taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu baada ya droo ya mchujo.
Ikifika Januari bei ya Kane inashuka STRAIKA, Harry Kane atashusha bei yake anayouzwa iliyowekwa kwenye kipengele cha mkataba wake huko Bayern Munich itakapofika dirisha la Januari mwakani jambo litakalotoa nafasi kwa klabu za Ligi...
Didier Drogba amtetea Mourinho Uturuki GWIJI wa Chelsea, Didier Drogba amemtetea kocha Jose Mourinho kutokana na tuhuma za ubaguzi, huku akimwelezea Mreno huyo ni “baba” yake.
Afrika mambo magumu Olimpiki 2024 Nchi za Bara la Afrika zimeendelea kufanya vibaya kwenye mashindano ya Olimpiki 2024, mpaka sasa Afrika Kusini na Kenya zikionekana kuendelea kujikongoja.
Wanamichezo saba mguu sawa Olimpiki KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imesema msafara wa Tanzania kwenye michezo ya Olimpiki msimu huu utaondoka nchini kwa mafungu.
PRIME Gamondi afichua alivyomzuia Mzize KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kwamba alihusika katika ushawishi wa kumbakisha mshambuliaji Clement Mzize asiondoke klabuni hapo huku akitaja sababu mbili za uamuzi wake huo juu ya...
AKILI ZA KIJIWENI: Usia wangu kwa Kocha Liogope RAFIKI yangu Kassim Liogope amepewa jukumu zito la kukaimu nafasi ya ukocha mkuu wa Azam FC muda mfupi baada ya timu hiyo kumtimua kocha Youssouph Dabo.
PRIME Okrah amzuia beki mpya Yanga MASHABIKI wa Yanga wanamuona beki mpya aliyetua hivi karibuni kutoka Singida Black Stars, Israel Mwenda mazoezini tu, lakini bado hajaweza kuruhusiwa kuanza kucheza lakini imefahamika kwamba...