Como inamtaka Silva, Juve, Galatasaray bado zipo KIUNGO wa Manchester City na timu ya taifa ya Ureno, Bernardo Silva, 31, anadaiwa huenda akatimkia Italia kujiunga na Como katika dirisha la majira ya kiangazi mwaka huu.
Yule aliyewaibua Saka, Nwaneri kusepa Arsenal MKUU wa akademi ya Arsenal, Per Mertesacker, ameripotiwa kuwa na mpango wa kuondoka kwenye klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.
Usichokijua kuhusu kocha mpya Real Madrid HAKUNA mtu aliyecheza mechi nyingi zaidi na kocha mpya wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa kuliko Xabi Alonso. klabu hiyo, lakini Mourinho aliweza kuwashusha kutoka kileleni. Anastahili sifa za...
Carrick apewa mikoba Manchester United MICHAEL Carrick amekubali kuwa kocha wa muda wa Manchester United hadi mwisho wa msimu.
Merino atuma ujumbe huko, asisitiza jambo KIUNGO mwenye uwezo mkubwa wa kufunga, Mikel Merino amesema kwa msisitizo Arsenal iko tayari kupambana na msongamano wa ratiba yao ya mechi kwa sababu wana ‘njaa’ ya kushinda mataji msimu huu.
Safari imeiva, Bruno aletewa mtu NDO hivyo. Lisemwalo ni miamba ya soka ya Saudi Arabia, ambayo ni Al-Hilal, Al-Nassr na Al-Ittihad imedhamiria kutua Old Trafford dirisha lijalo la majira ya kiangazi kumnasa Bruno Fernandes.
Riyad Mahrez aweka shilingi yake Nigeria NAHODHA wa Algeria, Riyad Mahrez ameitaja timu ya taifa ya Nigeria kuwa miongoni mwa vinara wa kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON).