Amorim akiri kuiba ujuzi kwa wapinzani KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema kwa kutania timu yake inaiba mbinu za kufunga mabao yatokanayo na mipira ya adhabu kutoka kwa wapinzani wao kwenye Ligi Kuu England.
Maema: Hatuna cha kujitetea, tumejiangusha wenyewe KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Neo Maema, amesema kitendo cha timu hiyo kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, hakuna wa kulaumiwa zaidi ya wachezaji...
Kocha Nairobi United: Tuna mlima mrefu wa kupanda CAF BAADA ya kusubiri kwa miaka sita kushuhudia timu ya Kenya inacheza mechi ya nyumbani katika michuano ya CAF hatua ya makundi, hatimaye subira hiyo imekuja na maumivu huku kocha wa Nairobi United,...
Joe Thomas anazikusanya hadi Bongo WIKIENDI hii moja kati ya matukio makubwa yaliyotokea ilikuwa ni shoo ya msanii wa R&B, Joe Thomas iliyofanyika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam.
Candy Bleakz aporwa, atoa taarifa ya kutisha MWIMBAJI maarufu wa Nigeria, Blessing Akiode Mariam, anayejulikana zaidi kama Candy Bleakz, ameibua wasiwasi mtandaoni baada ya video yake kusambaa ikimwonyesha katika hali ya kutetemeka muda...
Mashujaa, Coastal patachimbika Kigoma WAGOSI wa Kaya iliyotoka kuopata ushindi wa mabzo 2-0 nyumbani, imesafiri hadi Kigoma tayari kwa pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wao, Mashujaa huku namba zikiwabeba.
Didi Hamann: Slot siku zake zinahesabika MCHEZAJI wa zamani wa Liverpool, Didi Hamann amesema kocha wa timu hiyo Arne Slot amepoteza ushawishi kwa wachezaji na mwisho wake unanukia katika viunga hivyo vya Anfield.
Raphinha aingia anga za Newcastle United MABOSI wa Newcastle United wapo tayari kuwasilisha ofa kubwa kwa ajili ya kumsajili winga wa kimataifa wa Brazil, Raphinha, 28, ikiwa Barcelona itakuwa tayari kumuuza mwisho wa msimu huu.
Man United yashinda ugenini, ikiichapa Crystal Palace BAADA ya kupita katika kipindi kigumu cha kutopata ushindi katika mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu England, wikiendi iliyopita Manchester United ilifanikiwa kupata ushindi mbele ya Crystal Palace...