Panga Yanga kupita na mastaa hawa… Ujio wa mchezaji Augustine Okrah katika kikosi cha Yanga unaelezwa unahitimisha maisha ya beki wa kati kutoka Uganda, Gift Fred ambaye tangu asajiliwe hajapata nafasi ya kuingia kikosi cha kwanza...
Mo Dewji tajiri wa 12 Afrika Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania na Rais wa heshima wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji (Mo) ametajwa na Jarida la Forbes kuwa tajiri namba 12 barani Afrika na bilionea kijana zaidi kwa...
Mechi ya Simba, Mtibwa yaahirishwa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, imeahirisha mchezo kati ya Simba na Mtibwa uliokuwa umepangwa kupigwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Huu ulikuwa mchezo wa 16 kwa timu hizo wa...
PRIME Moto wa Ayoub bado haujakolea KOCHA wa makipa wa Simba, Dani Cadena amesema kiwango kinachoonyeshwa na kipa Ayoub Lakred ni asilimia ndogo na mashabiki wa kikosi hicho watarajie mambo makubwa kwake msimu huu licha ya kuanza...
Yanga yamng'oa Mkurugenzi mmoja Uongozi wa Yanga umemng'oa kwenye nafasi yake aliyekuwa Mkurugenzi wao wa mambo ya wanachama na mashabiki, Haji Mfikirwa, Mwanaspoti linafahamu. Mfikirwa ajira yake hiyo imekoma rasmi jana...
Konkoni: Bado nilikuwa na nafasi Yanga Hafiz Konkoni anayejiandaa kuondoka nchini kwenda kujiunga na timu ya Dogan Tûrk Birligi ya Cyprus kwa mkopo hadi mwisho wa msimu akitokea Yanga, amefichua kwamba, bado alikuwa na nafasi kwenye...
Simba yapiga chini mabao 11 Ligi Kuu KLABU ya Simba imeonekana kuwashangaza wengi baada ya kuwaacha wachezaji wawili ambao walikuwa vinara wa mabao kwenye timu hiyo. Simba juzi ilitangaza kuachana na mshambuliaji wao kinara wa...
Khomeny, Nashon haoo Ihefu WACHEZAJI wa Singida Fountain Gate, Abubakari Khomeny na Kelvin Nashon wamejiunga kwa mkopo wa miezi sita katika kikosi cha Ihefu. Khomeny anayecheza nafasi ya kipa hajawa na wakati mzuri katika...
Simba sasa yahamia kwa mrithi wa Chama Baada ya kuinasa saini ya mshambuliaji Pa Omar Jobe, Simba sasa inahaha kusaka kiungo mshambuliaji wa maana kabla ya dirisha la usajili halijafungwa leo saa 5:59 usiku. Mezani kwa mabosi wa...