Moises Caicedo kubaki Stamford Bridge hadi 2031 KIUNGO wa Chelsea, Moises Caicedo anatarajiwa kuendelea kubaki katika kikosi hicho kwa kusaini mkataba mpya na klabu hiyo yenye maskani yake jijini London.
Barcelona yaibwaga Chelsea ishu ya Dembele KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Mali, Seydou Dembele anatarajiwa kusaini mkataba wa kuichezea Barcelona wakati wowote kuanzia sasa akitokea katika kituo cha kukuza vipaji cha Jean Marc...
Wolves yashuka daraja, kucheza Championship msimu ujao Suluhu ya bila kufungana kati ya Crystal Palace dhidi ya West Ham kumeifanya timu ya Wolves kushukuka daraja, itacheza Championship msimu ujao 2026/27.
Harry Maguire aongezewa adhabu England CHAMA cha soka cha England, kimethibitisha Harry Maguire ataukosa mchezo wa Manchester United dhidi ya Chelsea baada ya kuongezewa adhabu ya kufungiwa mechi moja zaidi.
Kisa saa, David Silva kufanyiwa uchunguzi KIUNGO wa zamani wa Manchester City, David Silva anakabiliwa na uchunguzi wa kimahakama unaohusu sakata la saa za kifahari zinazodaiwa kuingizwa bila kulipiwa kodi nchini Andorra.
Palmer aikana Man United INAWEZEKANA hii ikawa habari njema kwa mashabiki wa Chelsea, kufuatia kiungo mshambuliaji wa matajiri hao wa London, Cole Palmer, kufichua kuwa hana mpango wowote wa kuondoka klabuni hapo huku...
Frank Lampard aeleza furaha kuirejesha Coventry EPL KOCHA wa Coventry City, Frank Lampard, ameeleza kwa hisia furaha yake baada ya kuiongoza klabu hiyo kurejea kwenye Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25.
Vita ya clean sheet yamuibua Mgaboni KIPA wa TRA United raia wa Gabon, Jean-Noel Amonome, amesema licha ya kutoruhusu bao katika mechi tisa za Ligi Kuu Bara msimu huu kwa maana ya kufikisha (Clean Sheets tisa), ila, malengo yake ni...
Ombi la Man City lakwama, wapinzani EPL wachachamaa MANCHESTER City wanaonekana kushindwa katika jitihada za kubadilishiwa ratiba ya mechi dhidi ya Crystal Palace na Bournemouth, licha ya kukabiliwa na mzigo wa kucheza mechi tatu muhimu ndani ya...
Simeone athibitisha Alvarez kuwaniwa na Arsenal, PSG, Barcelona KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone amethibitisha kuwa Arsenal ni miongoni mwa klabu zinazomuwania mshambuliaji wao, Julian Alvarez.