Bruno Fernandes adai mkewe anamkosoa sana KIUNGO Bruno Fernandes amefichua mkosoaji wake mkubwa ni mkewe, mrembo Ana Pinho.
Enzo Maresca aanza kutajwa Man City Kocha wa Chelsea, Enzo Maresca, ametajwa kama kocha ambaye anaweza kuchukua nafasi ya Pep Guardiola endapo Mhispania huyo ataondoka katika kikosi cha Manchester City msimu ujao.
Mlandege, Singida BS kufungua dimba Mapinduzi Cup 2026 RATIBA ya Kombe la Mapinduzi 2026 imewekwa hadharani ikionyesha Mlandege na Singida Black Stars zitafungua dimba la michuano hiyo Desemba 28, 2025.
Fainali Mapinduzi Cup 2026 kuchezwa Pemba WAKATI michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 ikitarajiwa kuanza Desemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kisiwani Unguja, imeelezwa kwamba fainali itapigwa Pemba.
Ishu ya kocha mpya, Simba yarudi tena mezani SIMBA inakaribia kumaliza mchakato wa kumpata kocha mpya wa kuiongoza timu hiyo baada ya Desemba 2, 2025 kuachana na Dimitar Pantev kwa makubaliano ya pande mbili.
Hersi afafanua ukweli ulivyo madai ya kuishambulia Simba BAADHI ya mashabiki wa Simba wanalia juu ya uwasilishaji uliofanywa na Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa Chama cha Klabu za Soka Afrika (ACA), Injinia Hersi Said kwenye kongamano la soka...
Adhabu za Ligi Kuu Bara zaibua maswali KUNA maswali mengi yameibuka baada ya Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Desemba 15, 2025 ilipopitia mwenendo na matukio...
Muvi ya wiki One Night In Bangkok KAI Kahale nafasi iliyoigizwa na mkongwe wa filamu za mapigano, Mark Dacascos, mtu mwenye sura ya upole na utulivu aliyeibuka Bangkok, Thailand akiwa na siri nzito kifuani iliyojaa chuki ya...
Achraf Hakimi akoleza mzuka Morocco ikisaka taji NYOTA wa timu ya taifa ya Morocco, anayekipiga Paris Saint-Germain (PSG), Achraf Hakimi amewatia hamasa wachezaji wenzake kwa kuwataka kupambana ili kumaliza ukame wa kubeba ubingwa wa Kombe la...