Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

687 results for Victoria Melkiad :

  1. PRIME Camara amvuta kiungo CS Sfaxien Simba, ishu nzima iko hivi

    MECHI mbili ambazo Simba imecheza dhidi ya vibonde wa Kundi A katika Kombe la Shirikisho Afrika, CS Sfaxien, zimempa faida mara mbili kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids.

  2. PRIME Nabi atuma ujumbe mzito Yanga, amtaja Ramovic

    MASHABIKI wa Yanga wameanza kuchekelea wakisahau siku ngumu walizopitia kabla na baada ya kuondoka kwa kocha wao Miguel Gamondi kisha nafasi yake kuchukuliwa na Sead Ramovic ambaye naye alikuwa...

    Nabi Pict
  3. Gusa achia ilivyoibeba Yanga kwa TP Mazembe

    WALE waliokuwa wakiiponda Yanga ya Sead Ramovic kwamba haina kitu, kwa sasa huenda wanatafuta mahali pa kuficha sura zao, kwa namna Gusa Achia Twende Kwao ilivyoanza kulipa kwa kikosi hicho...

  4. PRIME Kocha Yanga afichua siri ya Mpanzu

    KOCHA wa zamani wa Yanga na AS Vita ya DR Congo aliyewahi kumfundisha, winga mpya wa Simba, Elie Mpanzu amefichua kama Wekundu wa Msimbazi wanataka kumfaidi vilivyo nyota huyo basi kocha Fadlu...

    Straika Pict
  5. PRIME Yao atangaza vita mapema

    WAKATI mashabiki wakianza kujiuliza mtaani na mtandaoni itakuwaje mara beki wa kulia ya Yanga, Yao Kouassi atakaporejea kutoka kwenye majeruhi kutokana na kiwango kilichoonyeshwa na Kibwana...

  6. PRIME Ahoua achorewa ramani mpya

    KAMA wewe ni mpenzi na shabiki wa Simba, basi tegemea kuona maajabu zaidi kutoka kwa kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua hasa kwa mechi za kimataifa, baada ya kocha Fadlu Davids kueleza...

  7. PRIME Camara: Huko Tunisia lazima kieleweke, Fadlu atoa msimamo

    KIKOSI cha Simba kimeshatua Tusinia kwa ajili ya mchezo wa nne wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi CS Sfaxien, huku kipa Moussa Camara ‘Spider’ akiwatoa hofu mashabiki wa Msimbazi akiwaambia...

  8. Diarra akoleza moto, Ramovic achekelea

    KIPA Diarra Djigui aliyekuwa nje ya uwanja kwa wiki kama mbili amerejea akianza kujifua, jambo lililompa furaha kocha wa Yanga, Sead Ramovic huku akijiandaa kukabiliana na TP Mazembe ya DR Congo...

  9. PRIME KIBWANA: Yao anajua, ila namba naitaka

    IMEKUWA kawaida kwa mastaa kuvuma na kupotea hasa kwa upande wa soka, unaweza kuona mchezaji anafanya vizuri msimu huu alafu ujao anapotea au kwa kocha huyu anawika na anapokuja mwingine anapotea.

  10. Dube: Upepo umegeuka, mjipange vizuri

    MAISHA yanabadilika haraka sana pale Yanga, kwani wiki chache zilizopita ilikuwa ukiwatajia mashabiki wa timu hiyo jina la mshambuliaji Prince Dube ni kama unawaumiza mioyoni. Wengi walishindwa...

Previous

Page 22 of 69

Next