Nabi apiga mkwara KOCHA wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema baada ya kutimiza lengo la kutwaa ubingwa wa mashindano yote matatu makubwa nchini, anawapa mapumziko ya wiki mbili nyota wake, kisha kuja kuanza upya kazi...
Barbara: Bado nipo sana Simba MASHABIKI wa Simba walishaingiwa ubaridi baada ya mitandao ya kijamii kuanika kuwa Mtendaji Mkuu wa Barbara Gonzalez ameachia ngazi, lakini mwenyewe amevunja ukimya na kusisitiza yupo sana...
Simba kuweka kambi Misri au Uturuki MASTAA wa Simba wamepewa mapumziko ya siku 14, kabla ya kurejea tena kazini na fasta Julai 15 itakuwa ni safari ya kambini ambako ni Misri. Mwanaspoti linajua Julai 15, kikosi cha Simba...
Bangala, Aucho wana jambo lao KOCHA wa Yanga, Nasreddine Nabi amewakabidhi mastaa watano mechi ngumu ya fainali ya FA dhidi ya Coastal Union leo Jijini Arusha.
Tuzo za TFF 2021/22 kufanyika Julai 7 Tuzo za TFF zimegawanyika katika makundi mbalimbali, zikiwemo kikanuni za mashindano, binafsi za wachezaji na waamuzi, keshima na kiutawala zikihusisha wasimamizi wa mpira wa miguu na wadau...
Msimbazi walijikwaa hapa wakaumia MSIMU umemalizika huku Simba ikiambulia patupu baada ya kushindwa kutetea mataji matatu iliyotwaa msimu uliopita, Ligi Kuu Bara, Ngao ya hisani yaliyochukuliwa na Yanga pamoja na kombe la...
Rasmi Biashara yaaga Ligi Kuu Biashara United ya Musoma inakuwa timu ya pili kushuka daraja msimu huu baada ya kichapo cha mabao 4-1, dhidi ya Azam FC.
Dewji arudi Simba AWALI kulikuwa na tofauti kati ya Mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi Simba, Kassim Dewji na viongozi wengine wa ngazi ya juu kwenye klabu hiyo.
Lwanga, Akpan wapishana Simba IMETHIBITISHWA kuwa kiungo mkabaji kutoka Uganda, Taddeo Lwanga ataondoka Msimbazi ili kumpisha Mnigeria, Victor Akpan anayekipiga Coastal Union.
Mwendwa atua Dar kukutana na mabosi Simba WINGA wa kimataifa Mkenya Harrison Mwendwa amewasili nchini asubuhi ya leo akitokea mapumzikoni nchini kwao baada ya Ligi ya Zambia kumalizika akicheza katika klabu ya Kabwe Warrios.