Nyota hawa tumaini jipya la Afrika 2026 NDOTO ya Afrika ni kuona mmoja kati ya mataifa 10 wakiweka rekodi kufika fainali kama si kutwaa ubingwa kwa Kombe la Dunia itakayofanyika Marekani, Mexico na Canada kuanzia Juni 11 hadi Julai 19,...
Davido kutumbuiza Kombe la Dunia Mwanamuziki Davido amethibitishwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza katika tamasha la awali la kuelekea Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakalofanyika Juni 10, Jijini Los Angeles, Marekani.
Mourinho amtaka beki Calafiori aletwe Real Madrid Kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho anataka kumsajili beki wa Arsenal, Riccardo Calafiori, kama sehemu ya mpango wake wa kuijenga upya timu hiyo yenye maskani yake kwenye Uwanja wa Santiago...
New York Knicks yaiduwaza Spurs NBA New York Knicks imeanza kwa kishindo mfululizo wa fainali za NBA baada ya kuichapa San Antonio Spurs kwa pointi 105-95 katika mchezo wa kwanza wa fainali.
Taifa Stars yapata pigo Morocco Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imepata pigo baada ya kufutwa kwa ratiba ya michezo yake ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Uganda na Rwanda kutokana na uwepo wa tishio la ugonjwa wa Ebola.
Ivory Coast kikosi ghali Afrika Kombe la Dunia 2026 Licha ya kuwa na kundi kubwa la nyota wenye majina makubwa, Morocco na Senegal zimezidiwa na Ivory Coast katika chati ya timu za Afrika zenye vikosi vya thamani kubwa zaidi kwenye Kombe la Dunia...
Man City yakomaa na Anderson Manchester City imekataliwa ofa yao ya kwanza waliyopeleka kwa ajili ya kumsajili kiungo Elliot Anderson kutoka Nottingham Forest.
Wanne Serengeti Boys wazama kikosi bora AFCON U17 Licha ya kukosa ubingwa wa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) 2026, Serengeti Boys imetamba kwa kuingiza idadi kubwa ya wachezaji katika kikosi bora cha...
Perez, Riquelme wachuana Vikali, Mourinho na Haaland watajwa MIVUTANO ya kisiasa ndani ya Real Madrid imeanza kuchomoza huku uchaguzi wa rais wa klabu hiyo ukikaribia Jumapili hii.
Yamal hataki kuwa Messi wala Ronaldo Mkongwe na mshindi mara nane wa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka Lionel Messi hana shaka hata kidogo.