Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

171 results for Mwandishi Maalum :

  1. Hawa hapa Makipa wanaomnyima usingizi Amorim

    JUMAPILI iliyopita, Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim alimpumzisha kipa wake, Andre Onana baada ya kufanya makosa yaliyoigharimu kwenye mechi ya robo fainali ya Europa League dhidi ya Lyon...

    MAKIPA Pict
  2. Mechi nne za kimkakati Ligi Kuu Bara

    MECHI nne za Ligi Kuu Bara zitapigwa Jumatano hii kwenye viwanja tofauti zikiwa na vita tatu, kisasi, ubingwa na kujiweka pazuri.

    LIGI Pict
  3. PRIME Yaliyomo ndani ya begi la matibabu la daktari wa uwanjani

    KWENYE michezo, majeraha ni suala linaloweza kutokea muda wowote ule. Iwe kwenye soka, riadha, kikapu au mchezo mwingine wa aina yoyote ile unaohusisha purukushani, daktari ni lazima awepo na...

  4. Yaliyojiri mkutano wa Waziri Kabudi, TFF, TPLB, Yanga na Simba Kwa Mkapa

    SWALI ambalo huko mtaani mashabiki wanajiuliza ni kwamba, hiyo mechi ya Kariakoo Dabi ipo au haipo? Hiyo ni baada ya kuahirishwa kwa mchezo huo namba 184 wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Simba...

  5. PRIME Faili la Yanga CAS kutibua kikao cha dabi Dar?

    MACHI 8, 2025, ilitarajiwa kuchezwa mechi ya Ligi Kuu Bara namba 184 kati ya Yanga dhidi ya Simba, lakini Bodi ya Ligi iliahirisha saa tano kabla ya kuanza kwa mchezo huo uliopangwa kuanza saa 1...

  6. NIONAVYO: Miaka minne kazini, Motsepe amethibitisha ameweza

    ALIPOTANGAZA nia yake ya kuwania kiti cha urais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), wengi walimwona kama mtu aliyekuwa anapima kina cha maji tu. Ukiondoa umiliki wake wa klabu ya Mamelodi...

  7. Curry: Rekodi ya mipira 4,000 nyavuni

    WIKIENDI hii imekuwa ya kuvutia katika historia ya NBA. Mashabiki wa Golden State Warriors waliokuwa wamefurika kwenye Uwanja wa Chase Center walishuhudia tukio la kihistoria kwa Stephen Curry...

  8. PRIME Aziz KI ashtua Dar, anaswa hospitalini Daktari azungumza

    MAMBO ni moto kwelikweli! Hivyo ndivyo ilivyo katika Ligi Kuu Bara wakati mashabiki wa soka nchini wakijiandaa na kipute cha mchezo wa Dabi ya Kariakoo inayotarajiwa kupigwa Jumamosi, wiki hii...

    Aziz Pict
  9. 1xBet yaingia fainali ya tuzo za SiGMA Afrika 2025

    na matokeo ya kura kwenye ukurasa wa zawadi. Sherehe ya tuzo itafanyika Machi 10, siku ya ufunguzi wa mkutano wa kilele wa SiGMA Africa 2025, kwenye Maonyesho ya Sun huko GrandWest Cape Town...

  10. PRIME RIPOTI MAALUM -3: Njia za kuinua na kuendeleza michezo

    KUSUASUA kwa Tanzania katika mashindano ya kimataifa kunasababishwa na mambo mengi ikiwemo miundombinu mibovu ya kujifunzia, kukosa fedha za uendeshaji wa klabu za michezo sambamba na usimamizi...

Previous

Page 3 of 18

Next