TFF yamrudisha Awesu KMC, Simba yakwepa rungu Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa kiungo Awesu Awesu kuwa ni mchezaji halali wa KMC hivyo anapaswa kurejea klabuni kwake.
Saido aitwa fasta Yanga STAA mpya wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza atakanyaga kwenye ardhi ya Dar es Salaam kesho saa 3:40 usiku tayari kuanza kazi Jangwani.
Zidane ang'oka Real Madrid Zinedine Zidane amejiuzulu kazi ya ukocha wa Real Madrid, kwa mujibu wa vyombo vya habari, baada ya kuvuliwa ubingwa wa soka wa Hispania na Atletico Madrid.
Lunyamila aanza kuzungumza HALI ya winga wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Edibily Lunyamila, inaendelea kuimarika baada ya kuanza kuzungumza kwa kifupi na watu wanaomtembelea kumjulia hali katika Hospitali ya Mwanyamala,...
Kocha Yanga auziwa mbuzi kwenye gunia KWA Kiswahili cha uswahilini, unaweza kusema Kocha wa Yanga ameuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kocha wa Rwanda majaribuni Dar KOCHA wa Rwanda, Sellas Tetteh hana wasiwasi na kikosi chake lakini ametua Dar es Salaam na kikosi cha wanaume 18 akiamini kuwa mshambuliaji Mrisho Ngassa wa Taifa Stars ni majeruhi na hatacheza...
Julio amchongea Minziro Yanga VIJEMBE ni jambo la kawaida Ulaya hasa inapofika kwenye mechi kubwa. Hali hiyo nayo ipo Bongo kwa Simba na Yanga wakati huu timu hizo zikijiandaa na pambano lao la Jumapili ijayo la Ligi Kuu Bara.
Mzungu wa Yanga ajiuzulu Yemen KOCHA wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet amejiuzulu kuifundisha timu ya Taifa ya Yemen Jumamosi
Profesa J aeleza haya baada ya kutajwa na Magufuli Mbunge wa zamani wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule maarufu Profesa J amesema Rais wa Tanzania, John Magufuli kuomba apigiwe wimbo wa Baba ni mwendelezo wa kiongozi mkuu huyo wa nchi kuwa shabiki...
Mwili wa Magufuli kuagwa mikoa minne Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbas amesema ratiba ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli imekamilika na itatolewa kwa umma leo Ijumaa Machi 19, 2021 na Makamu wa...