Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

687 results for Victoria Melkiad :

  1. PRIME Sasa kunachangamka! Mzize dau limepanda

    YANGA inashuka uwanjani jioni ya leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam kukabiliana na MC Alger ya Algeria katika mechi ya mwisho ya Kundi A ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku...

    Mzize Pict
  2. Banda ataja kilichompeleka Dodoma Jiji

    WAKATI usajili wa Abdi Banda kutoka Sauzi kutimkia Dodoma Jiji ukiendelea kuwa gumzo, beki huyo mzawa ameeleza sababu za kurejea nyumbani.

    Banda Pict
  3. Dili la Mpole lafia njiani, sasa aibukia huku!

    DILI la mshambuliaji aliyekuwa Pamba Jiji, George Mpole la kutimikia Singida Black Stars, limefia njiani mara baada ya Kagera Sugar kuizidi kete na kumbeba juu kwa juu mfungaji bora huyo wa Ligi...

    Mpole Pict
  4. Mwenda afunguka kilichotaka kumuondoa Simba

    STORI kubwa iliyozunguka maisha ya beki wa kulia, Israel Mwenda, katika klabu yae ya zamani ya Simba, ni uhusiano wake na mmiliki wa nafasi anayoicheza katika kikosi cha kwanza cha Wekundu wa...

    Mwenda Pict
  5. Tabora yabeba straika kutoka Tajikistan

    DIRISHA dogo la usajili lilifungwa jana usiku, huku mapema juzi Tabora United ilikamilisha dili la kumsajili mshambuliaji mzawa Emmanuel Mwanengo aliyekuwa akiichezea Vakhsh Bokhtar iliyopo...

    Mwanengo Pict
  6. Lawi aziingiza vitani Simba, Yanga

    WAKATI dirisha la usajili likitarajiwa kufungwa usiku wa leo inaelezwa kuna vita kubwa kati ya vigogo vya Simba na Yanga vikipigana vikumbo kuwania saini ya beki Lameck Lawi.

    Lawi Pict
  7. Singida Black Stars yafuata mido Burkina Faso

    SINGIDA Black Stars imetua kambi ya timu ya Taifa ya Burkina Faso ikipambana kuipata saini ya Clement Pitroipa mwenye uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji na ukabaji.

    Singida Pict
  8. PRIME Fadlu apanga mkakati mzito Kwa Mkapa

    KOCHA wa Simba SC, Fadlu Davids ameweka wazi timu yake inajivunia kufuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini amesisitiza bado wanakusudia kufanya jambo wakiwa Kwa Mkapa.

    Kwa Mkapa Pict
  9. Simba ya Fadlu yamkosha Azim Dewji

    SIMBA imerudi nchini ikiwa na tiketi yake mkononi ya kucheza robo fainali ya sita kwenye mashindano ya Caf na kwenye msafara wa timu hiyo alikuwemo mfadhili wao wa zamani, Azim Dewji, ambaye...

    Fadlu Pict
  10. PRIME Ramovic abuni mbinu za kuimaliza MC Alger Kwa Mkapa

    YANGA imekamilisha kazi ya kwanza ugenini kwa kuichapa Al Hila bao 1-0 juzi Jumapili, kazi ya pili iliyobaki ni kuichapa MC Alger Jumamosi ya wiki hii pale Benjamin Mkapa, kisha kufuzu robo...

    Ramo Pict
Previous

Page 20 of 69

Next