Sababu za Aisha Masaka kutocheza Twiga Stars WIKIENDI iliyopita timu ya taifa 'Twiga Stars' ilipata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ikweta Guinea ya kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) mwakani nchini Morocco, lakini...
Gomez aanza na sare Wydad, bao alilotupia lakataliwa MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipig Wydad AC ya Morocco, Seleman Mwalimu 'Gomez' ameanza mechi ya kwanza akiwa na uzi wa timu hiyo iliyotoka suluhu na COD Meknes katika mechi ya Ligi Kuu nchini...
Nyota San Jose Earthquakes aitamani Stars KIUNGO mshambuliaji wa San Jose Earthquakes ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS), Amahl Pellegrino mwenye uraia wa Norway na asili ya Tanzania, ameanza kujinadi akionyesha anatamani kuichezea timu ya...
Watanzania wapania mzunguko wa pili Uturuki WATANZANIA wawili wanaokipiga Ligi Kuu ya Walemavu nchini Uturuki, Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee na Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe wamesema licha ya kuanza mzunguko wa kwanza...
BAB'KUBWA… 33 WPL mzigoni WAFCON 2026 LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) imesimama kwa mwezi mmoja kupisha timu za taifa zinazowania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa Afrika kwa Wanawake (Wafcon) 2026 zitakazofanyika Morocco.
Twiga Stars yaimaliza Guinea, bado 90 ugenini Twiga Stars imeanza vyema kampeni za michuano ya kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 nchini Morocco, baada ya ikiitandika Equatorial Guinea kwa mabao 3-1 katika...
Twiga Stars pigeni haoo TWIGA Stars inatarajiwa kushuka uwanjani jioni ya leo kuisaka tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 itakapovaana na Guinea ya Ikweta, ambapo kocha mkuu wa...
Viwango vya mastaa Bongo wanaotesa nje KWA sasa kuona Mtanzania anasajiliwa na timu kubwa kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo Ulaya ni jambo la kawaida kutokana na maendeleo ya soka.
Aregash - Aziz Ki wa Yanga Princess KAMA kuna usajili uliofanikiwa mpaka sasa kwa Yanga Princess, basi ni ule wa kiungo mshambuliaji, Aregash Kalsa kutokea C.B.E ya Ethiopia.
Mapigano ya Congo yaisogeza ofa ya Ninja NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Abdallah Shaibu 'Ninja' amesema mapigano yanayoendelea Goma, DRC Congo yamesitisha mazungumzo na kati yake na klabu ya Tanganyika FC.