PRIME Rais wa Caf ashtakiwa Dar, kesi kunguruma leo Jumatatu KESI inayomhusisha bilionea wa Afrika Kusini na rais wa CAF, Patrice Motsepe na kampuni zake inatarajiwa kusikilizwa kesho, Jumatatu katika Divisheni ya Kibiashara ya Mahakama Kuu ya...
Lufano bado yupo sana MZFA MWENYEKITI wa Chama cha Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA), Vedastus Lufano ametetea nafasi hiyo, baada ya kupita bila kupingwa akipigiwa kura za ndio na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho, huku...
VISA yamkwamisha Mbongo Uturuki MTANZANIA Hebron Shedrack anayekipiga Sisli Yeditepe inayoshiriki Ligi ya Walemavu nchini Uturuki amesema hajaondoka nchini hadi sasa kutokana na changamoto ya kibali cha kusafiria.
Kriketi Taifa yaifuata Italia IKIWA na matumaini ya kufanya vyema, timu ya taifa ya kriketi inaondoka leo kwenda Uganda kwa ajili ya mashindano ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia kwa kriketi ya mizunguko 50 yanayoanza nchini...
Kiungo Misri moto ni uleule NYOTA wa Tanzania, Maimuna Kaimu 'Mynaco' ameendelea kuwa nguzo imara kwenye eneo la kiungo la Zed FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake wa Misri.
Amapiano yapiga hodi Guru Rally HOMA ya Guru Nanak Rally, ambayo ni raundi ya mwisho ya mbio za magari ubingwa wa taifa, inazidi kupanda huku washiriki wakizidi kujitokeza kabla ya mbio hizo kutimua vumbi Novemba 16 na 17 mwaka...
EXCLUSIVE… Alphonce Modest: Niitieni MO kabla sijafa #3 KATIKA sehemu ya pili ya makala haya ya beki wa zamani Alphonce Modest yaliyotokana na mahojiano maalumu aliyeofanyiwa akiwa nyuumbani kwao mjini Kigoma, nyota huyo aliyewahi kutamba na Pamba...
BONGO MUSIC FACT: Diamond, Sallam SK kazi ilianzia hapa! AKIWA tayari ameleta mapinduzi makubwa katika muziki wa Bongofleva kutokana na uthubutu wake, bado Diamond Platnumz anaendelea kufanya vizuri ikiwa ni miaka 15 tangu ametoka rasmi kimuziki.
Hata hivyo, Yammi bado analipa...! LICHA ya kutoshinda Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) 2023, bado haiondoi ukweli kwamba Yammi alifanya vizuri mwaka uliopita baada ya kutambulishwa katika rekodi lebo ya The African Princess...
TUONGEE KISHKAJI: Kumshindanisha Zuchu na Jide ni kuwatukanisha wote WIKI nzima hii mitandaoni vita ilikuwa ni moja; kati ya Lady Jaydee na Zuchu nani mkali wa kuandika ngoma.