King Kikii wa ‘Kitambaa cheupe’ hatunae MWANAMUZIKI Mkongwe hapa nchini Kikumbi Mwanza Mpango 'King Kiki' amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.
PRIME Yanga yatua kwa Lawi Uamuzi huo wa Yanga ambao inaelezwa uko kwenye hatua nzuri za awali, umekuja baada ya changamoto walizozipata kwenye safu ya ulinzi kutokana na upungufu wa mabeki wa kati walipocheza mechi ya...
Kisa Msuva, Wydad yafungiwa SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa) limeifungia Klabu maarufu ya Morocco, Wydad Casablanca, kufanya usajili wa wachezaji kutokana na kushindwa kutekeleza malipo ya kifedha wanayodaiwa na...
TPA yatembeza vipigo SHIMMUTA Timu za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) zinazoshiriki michezo ya SHIMMUTA inayoendelea mjini Tanga, zimekuwa moto wa kuotea mbali baada ya kutembeza vipigo mfululizo kwa...
NIONAVYO: Trump II na hatima ya michezo BAADA ya kuitumikia Marekani kama Rais wa 45, Donald John Trump amechaguliwa tena kuwa rais wa 47 wa Marekani.
AKILI ZA KIJIWENI: Mabeki wa kati ndio silaha yetu Tanzania KUNA eneo ambalo tumefanikiwa sana kama taifa kuzalisha wachezaji wa kiwango cha juu ambao wamekuwa na manufaa kwa klabu pamoja na timu zetu za taifa.
Alponce Modest azidi kuteseka, amuita MO Dewji BAADA ya Mwanaspoti kuibua taarifa kuhusu hali ya kiafya ya beki wa zamani wa Simba, Alphonce Modest, baba mzazi wa staa huyo, amefafanua kinachoendelea kwenye familia huku nyota huyo akimtaja...
Hatimaye Jux na Priscilla yametimia...! Kama ambavyo ilitegemewa Jux na Priscilla kutokea Nigeria kuna la ziada nje ya uhusiano wao, sasa ni wazi ndivyo ilivyo ikiwa ni miezi michache tangu wawili hao kuanza kuonekana hadharani pamoja...
FIBA yatoa mipira 10 ya 3x3 SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu la Kimataifa (FIBA), limetoa mipira 10 kwa ajili ya maendeleo ya mchezo huo wa 3x3 unaohusisha wachezaji wanne, huku wa tatu wakiwa wanacheza ndani ya uwanja na...
Fei Toto anavyoweza kutumika Simba SC FEISAL Salum maarufu kama Fei Toto ni miongoni mwa wachezaji bora wa kiungo katika soka hapa nchini.