Mke aelezea ugonjwa, kifo cha King Kikii KUTOKANA na kifo cha mwanamuziki mkongwe wa Muziki wa Dansi Tanzania, Boniface Kikumbi ‘King Kikii’, mkewe, Constansia Kalanda amefunguka namna mume wake alivyougua hadi kufariki dunia.
Kamara kumpisha Sowah DIRISHA dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa Desemba 15, mwaka huu na Singida Black Stars imeanza kujiimarisha mapema, ikitajwa tayari imemalizana na mshambuliaji raia wa Ghana, Jonathan...
Kapilima akomalia mastaa KenGold KOCHA wa KenGold, Omary Kapilima amesema kipindi hiki ambacho Ligi Kuu Bara imesimama, anaendelea na jukumu kubwa la kuhakikisha anatengeneza balansi nzuri ya kikosi hicho, kuanzia eneo la...
Harmonize kaondoka na deni kubwa WCB Wasafi Tangu kuondoka WCB Wasafi na kuanzisha lebo yake Konde Music, Harmonize amekuwa akinyooshewa vidole na wakosoaji wake ameshindwa kutengeneza nyimbo kubwa kama Kwangwaru, Happy Birthday, Bado na...
TUONGEE KISHKAJI: Ni kibosi au kizamani? KAMA kuna jambo linalowagusa wasanii wa Tanzania hasa Bongo Fleva na Bongo Movie ni maisha kabla na baada ya umaarufu. Swali kubwa ni je wasanii wetu wanajua jinsi ya kujiweka sawa kabla na...
Huyu ndiye Fid Q au Mzee Mbuzi Kwa mujibu wa Fid Q, uwezo wake wa kuandika mashairi unatokana na tabia aliyojijengea ya kujisomea vitabu kitu ambacho kimemjenga na ndilo chimbuko la albamu yake ya tatu, KitaaOlojia iliyotoka...
Mastaa Ligi Kuu Bara watamba nchi zao zikifuzu Afcon Ligi Kuu Tanzania Bara imeheshimishwa na nyota wa kigeni wanaochezea timu tofauti za taifa, baada ya vikosi vyao vingi kufanikiwa kutinga fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) zitakazofanyika...
Fadlu anavyopita nyayo za Gomes, Sven Simba KOCHA mkuu wa Simba, Fadlu Davids amefikisha jumla ya michezo 10 ya Ligi Kuu Bara tangu alipoanza kukinoa rasmi kikosi hicho Julai 5, mwaka huu akichukua nafasi ya Mualgeria, Abdelhak Benchikha...
Championship pameanza kuchangamka UHONDO wa Ligi ya Championship unaendelea kushika kasi ambapo baada ya leo kupigwa michezo mitatu, kesho itapigwa mingine mitatu kwenye viwanja mbalimbali, ili kuzisaka pointi tatu muhimu za...
PRIME Siku 511 za ubabe wa Gamondi kwa Simba Baada ya kuitumikia Yanga kwa siku 511, kocha Miguel Gamondi leo Novemba 15, 2024 ameonyeshwa mlango wa kutokea kwa kile kinachoonekana ni uongozi wa Yanga kutoridhishwa na mwenendo wa timu...